Jinsi ya kujua uwezo wa misuli yako ya uume.

Hisia zako ni hasi, huwezi kuni determine kihivyo.
Samahani mkuu,ila ukitaka
kuthibitisha nilichosema,nenda
kwenye miji inayojitambua kiusafi
afu ufanye hilo zoezi
wakikukuta uwaambie unapima misuli]
uone kama hawatakulipisha faini.
 
Samahani mkuu,ila ukitaka
kuthibitisha nilichosema,nenda
kwenye miji inayojitambua kiusafi
afu ufanye hilo zoezi
wakikukuta uwaambie unapima misuli]
uone kama hawatakulipisha faini.
Kwani magofu hakuna?, vichaka hakuna?, huwezi kutoka nje ya mji kidogo?
Kama una nia ya kufanya hili jaribio, huwezi sita kulifanya kisa utakamatwa.
 
Aya asante
 
Kichaa kazini
 
umbali wa kutua mkojo uongezeke ili iweje?
 
nadhani uume Wangu naupima pale nikimsukumizia mashine demu!!
Hiyo procedure yako ina walakini sana!!
Kwanza itategemea Na uwingi wa mkojo wakati unakojoa!!!
Kama mkojo Ni mwingi, obviously utaruka kwenda mbali!!
Mtoa madaa ulianza vizuri lakini kuhusu umbali wa mkojo inategemea mf ukipiga kaz yaukweeusiku asubhi mkojo hata hatua moja haufiki, njia pekee niuwezo wa kufanya firm erection only by thoughts ukishindwa hapo anza kegel exercise
Elimu kanjanja akuna uhusiano wowote hapo umedanganywa na wewe unadanganya hivyo ni wadanganyika
umbali wa kutua mkojo uongezeke ili iweje?
Kichaa kazini
Wengi mnaipinga hii njia kwa kuwa hamja-iprove, ni kweli kabisa umbali wa kutua mkojo ni kigezo cha misuli yako ni imara kiasi gani. Kuhakikisha fanya njia ifuatayo:
Ukiwa unakojoa kabla ya mkojo kuisha, KAZA ghafla misuli yako ya uume, utaona UMBALI wa kutua mkojo unaongezeka. Umbali wa kutua mkojo umeongezeka baada ya kuiimarisha misuli ya uume.
Mmeelewa?
 
Nawaza tu; Upo kwenye jumba bovu au kichaka Umetoa Dudu Lako kwa ajili ya majaribio ghafla unastukia jiwe LA kichwa sasa sijui Utashika Wapi!!?

Daaaah hii mitihani mingine mtuelekeze na madarasa ya kufanyia
 
Nawaza tu; Upo kwenye jumba bovu au kichaka Umetoa Dudu Lako kwa ajili ya majaribio ghafla unastukia jiwe LA kichwa sasa sijui Utashika Wapi!!?

Daaaah hii mitihani mingine mtuelekeze na madarasa ya kufanyia
Hahahahahaa.
Ukiona kufanya hili jaribio mchana ni ngumu, hata usiku tu, unakuwa na tochi kwa ajili ya kumulikia.
 
Mm nakuunga mkono 100%.
Nishafanya jaribio mara nyingi.Ila mm nimepima kwa hatua zangu za miguu nane kama unapima goli la mpira uwanjanai .Dole gumba kwa kisigino.Pia kwa utotoni nakumbuka unaweza kojoa na mkojo ukawa kama kimo na umbali zaidi ya huo.
Na ili uwe na nguvu zilizo sawa
Fanya mazoezi.punguza au acha kula vyakula vya mafuta .Achana na soda kunywa juice halisi za matunda au matunda kabisa.Acha punyeto.Hakikisha tumbo lako sio kitambi kwan kitambi huhifadhi mafuta jitahidi kukipunguza.Mara kwa mara kunywa dawa au vyakula vya kuflash tumbo kama mtindi ,papai au za kuharisha husaidia kuondoa mafuta na gesi tumboni.Tumbo ndio mama wa maradhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…