Jinsi ya kujua uwezo wa misuli yako ya uume.

We mkali, hatua nane za kubananisha miguu ni sawasawa na hatua nne kasoro kidogo za kutembea, kiwango cha juu kabisa cha hatua za kawaida mwisho ni hatua tatu, kila hatua ina asilimia 33.3%.
Utotoni watu wanafikisha hatua za kutembea mpaka saba nane.
 
huna akili unahamasisha watu wachafue mazingira kwa mikojo, kama huna nguvu acha kwani lazima?
 
Naona mkuu umeamua kufundsha watu wazima namna ya kuji** a
Namna ya kujitibia.
Halafu sijaja kufundisha, nimekuja kuuliza kama kuna njia nyingine zaidi za mkojo kufika mbali.
 
umesahau kuwaambia zoezi hili walifanye vichakani
 
Kila mtu na upimaji wake ww umepima hatua za kutembea mm hatua za kubana miguu unyayo kwa unyayo dole gumba kwa kisigino yaan kiganja cha mguu mara nane ambazo ni sawa na futi saba na ushee.mshindo hugusa kule
 
Kichaa utaonekana wewe bila kutoa facts. Toa sababu ndiyo ubeze.
Sababu zinazo sababisha nguvu kupungua siyo misuli tu ni mambo mengi na umbali wa mkojo akuna ukweli wowote huo niupotoshaji
 
Kwani magofu hakuna?, vichaka hakuna?, huwezi kutoka nje ya mji kidogo?
Kama una nia ya kufanya hili jaribio, huwezi sita kulifanya kisa utakamatwa.
mkuu kwani siku hizi unaona story za mabasi kusimama
maporini ili kuchimba dawa? na kwani kwenye magofu hapatoi harufu?
 
Nawaza tu; Upo kwenye jumba bovu au kichaka Umetoa Dudu Lako kwa ajili ya majaribio ghafla unastukia jiwe LA kichwa sasa sijui Utashika Wapi!!?

Daaaah hii mitihani mingine mtuelekeze na madarasa ya kufanyia
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Jaman mm sijui kufanya kagel
 
Kila mtu na upimaji wake ww umepima hatua za kutembea mm hatua za kubana miguu unyayo kwa unyayo dole gumba kwa kisigino yaan kiganja cha mguu mara nane ambazo ni sawa na futi saba na ushee.mshindo hugusa kule
Nilishakusoma mkuu, hatua nane za kubana miguu unafunga kazi kabisa, kama ni mtihani umepata 105%, hatua nane za kubana miguu ni sawa na hatua nne za kawaida ninazosema mimi. Hili zoezi mwisho ni hatua tatu, kila hatua ina asilimia 33.3, kujua kiwango chako unachukua umbali wa mkojo unazidisha na 33.3%
 
Kuna maji ya mvua na ya mto. Mikojo yake inatofautiana urefu. Tafiti zako zilijikita kwenye maji yapi.
 
Sababu zinazo sababisha nguvu kupungua siyo misuli tu ni mambo mengi na umbali wa mkojo akuna ukweli wowote huo niupotoshaji
Mimi naamini katika hilo, kama wewe unaona ni upotoshaji shauri yako. Nimeuliza kuna njia nyingine ya kuongeza umbali wa kutua mkojo achilia mbali kegel na firm erection by thoughts?
 
mkuu kwani siku hizi unaona story za mabasi kusimama
maporini ili kuchimba dawa? na kwani kwenye magofu hapatoi harufu?
Usiku je?
Mlio miijni mnaogopa kufanya hili jaribio eti mazingira, mazingira yanawatala. Tulio vijijini tunawashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…