Jinsi ya kujua uwezo wa misuli yako ya uume.

Kuna maji ya mvua na ya mto. Mikojo yake inatofautiana urefu. Tafiti zako zilijikita kwenye maji yapi.
Hatua za mtu ndiyo jibu, hatua zako za miguu ni directly proportional to umbali wa kutua mkojo.
 

kuna uhusiano gani kati ya urefu wa stream ya mkojo na uimara wa misuli ya uume? Kwa sababu ili jambo linahusiana na laws of physics - gravity, pressure, area (njia ya mkojo), diaphragm, na wingi wa mkojo.

Nikiwa o-level kwenye somo la physics tulisoma kuwa debe lenye maji mpaka juu halafu lina matundu kwa juu na kwenye base halafu likawekwa juu - tundu la juu stream yake itakuwa fupi wakati ile ya chini itakuwa ndefu kutokana na pressure kuwa kubwa towards the base na kuwa ndogo kwa juu (angalia mchoro hapo chini). Je, hilo debe lina misuli imara kwenye base kuliko kuelekea juu wakati lina material yale yale na wala sio a living thing?

 
Kilichonipelekea kujibu hivo n kutokana Na matokeo ya ninapo kunywa maji mengi hua naenda sana haja ndogo

Halafu nimeandika nahisi so Sina uhaika neno langu si sheria

Kwa principle ya physics ya water pressure huko sahihi. Halafu animals (including humans) wana kitu inaitwa diaphragm ambayo inaweza kubadili pressure ya mkojo; mfano, kama unakojoa katikati ya kukojoa simamisha kupumua uone pressure ya mkojo itakavyo badilika - sasa hapo sijui issue ni ubora wa diaphragm au huko kwenye muscle za pipe. Maelezo ya huyu mleta mada sio scientific!!

Kwenye semina ya kansa ya kibovu cha mkojo kwa mwanaume tuliambia kipimo kimojawapo ni urefu wa stream kutoka ulipo simama kwa sababu tezi dume uvimba umri unavyokwenda hivyo kupunguza njia ya uume.
 
Mkuuu asanteee japo sjaelewa nipo sahihi au sipo sahihi?

Asante Kwa kunielewesha pia
 
-Wakati unakojoa unatakiwa kuushikilia mkonga kuuelekeza au unajisaidia bila kuushika?
-wa kwangu hatua moja haijatimia vizuri hebu naomba calculations zangu in percentage(%)[emoji1] [emoji1]
 
Mkuuu asanteee japo sjaelewa nipo sahihi au sipo sahihi?

Asante Kwa kunielewesha pia

Picha hii ina maelezo mazuri zaidi. Sijui ukubwa wa bladder ya mkojo shape yake na position yake lakini ikiwa imejaa kisawasawa nafikiri matokeo yatakuwa kama kwenye huu mchoro.

 
Factor nyingine hii hapa. Nadhani uume uliosimama una njia ndogo hivyo pressure kuwa kubwa ili kusafirisha wazee wa uhai kwa speed isiyo ya kawaida, ndio maana mkojo wa asubuhi pressure yake sio mchezo au mkojo wakati uume umechachamaa. Hivyo factor hii inaweza ku-support maelezo ya mleta mada ila kipimo chake ndio chenye walakini yaani precision, na kama kuna kipimo cha aina nyingine kinachotoa majibu sawa na cha huyu bwana.

 
Picha hii ina maelezo mazuri zaidi. Sijui ukubwa wa bladder ya mkojo shape yake na position yake lakini ikiwa imejaa kisawasawa nafikiri matokeo yatakuwa kama kwenye huu mchoro.

Anha Sasa nimekupata nashukuru Kwa maelezo yako ubarikiwe
 
Kumbe wataalam mpo halafu mmekaa kimya muda wote huo, kuna maswali yanatutatiza hapa.
-Nini kifanyike ili kukuza umbali wa kudondokea mkojo?, tuanze na hilo kwanza.
 
Sababu zinazo sababisha nguvu kupungua siyo misuli tu ni mambo mengi na umbali wa mkojo akuna ukweli wowote huo niupotoshaji
Ujinga mtupu!!
Hii nyuzi ina sehemu mbili, jaribio na vitu nilivyouliza vya kujadili. Kwenye jaribio mmekataa, kwa sababu mmelikataa, tuache kuzungumzia jaribio, tuje kwenye maswali niliyouliza, nataka hasa kujua JINSI YA KUONGEZA UMBALI WA KUTUA MKOJO, tuzungumzie hili.
Tiririkeni, kuweni huru.
 
nikihamka hasubuhi...natundika jeans 3 na kuendelea kwa uume...nazibembeza kwa mnesoneso......hapo najua tuu...misuli ipo imara kiasi gani....??...
 
Elimu za zamani sana hii.
Zaman tulikua tunashindana kurusha juu ya bati.
Kwa wanawake walikua wanajipima kwa kiwango cha au urefu wa kuchimba chini.
Pia wengine tulikua tunatumia hayo mashimo iwapo demu umempenda kumalizia haja zako mshindo.
 
nadhani uume Wangu naupima pale nikimsukumizia mashine demu!!
Hiyo procedure yako ina walakini sana!!
Kwanza itategemea Na uwingi wa mkojo wakati unakojoa!!!
Kama mkojo Ni mwingi, obviously utaruka kwenda mbali!!
mkuu usibishe vitu usivyovijua
hilo la kukojoa huku umesimama na kuangalia umbali wa mkojo ni kweli
 
Kama mlango na urethra pana lazma pressure iwe ndogo so mkojo utatoka mwingi na hautaenda mbali. Vice versa is true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…