Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Declare Interest:
Mimi jukwaa langu ni la siasa, huku nimekuja leo na sitorudi tena.
Why MIHOGO?
1) Rahisi kupatikana
2) Kila mtanzania anaijua sio kama mara egg chop, fish finger, Streetwise, KATLESS mapishi ambayo hata ujui utatoa wapi material! Majina ya ajabu ajabu.
3) Kila aliyepitia shule za msingi, secondary anajua utamu wa mihogo ya kukaanga na chachandu(masaro) hasa ya nyanya za kuoza.
Ok
Here we go
Ingredients
Directions
Sasa mihogo yetu twaweza kuila muda wowote, kwa chai, maji na hata juisi na hata ukipata samaki wakukaanga hunoga mno. Nasio lazima uwe na kachumbari waweza kula na tomato, chilli sio mbaya,
Karibuni sana.
Hii kitu nimeikopi hapo chini kwenye link
Mapishi | Jinsi ya Kupika | Blogu #1 Kwa Mapishi Mbalimbali ya Kiswahili
mihogo ya kukaanga na chachandu | Jinsi Ya Kupika
Mimi jukwaa langu ni la siasa, huku nimekuja leo na sitorudi tena.
Why MIHOGO?
1) Rahisi kupatikana
2) Kila mtanzania anaijua sio kama mara egg chop, fish finger, Streetwise, KATLESS mapishi ambayo hata ujui utatoa wapi material! Majina ya ajabu ajabu.
3) Kila aliyepitia shule za msingi, secondary anajua utamu wa mihogo ya kukaanga na chachandu(masaro) hasa ya nyanya za kuoza.
Ok
Here we go
Ingredients
- Mihogo mikubwa 3
- mafuta lita 1
- kitunguu 1
- thoum kiasi
- tangawizi kiasi
- nyanya 4
- limao 1
- karoti nusu
- hoho nusu
- pilipili manga kidogo
- chumvi
- pilipili mbichi.
Directions
- Menya mihogo, ikatekate kiasi upendacho na kwa urahisi wa kuiva kisha ikoshe
- bandika karai, tia mafuta, yakipata moto weka mihogo ukaange, angalia moto usiwe mkali sana ili mihogo iive polepooe bila kubabuka
- ikishaiva itoe uitie kwenye chujio ijichuje mafuta. Anza kuandaa kachumbari yakulia mihogo.
- osha nyanya, karoti, hoho, tangawizi, chukua sufuria uvisage uvitie, kisha katakata kitunguu tia, twanga pilipili uitie pia. Weka chumvi na pilipili manga.
- bandika jikoni ueke na maji nusu kikombe na unyunyuzie mafuta kiasi. Funika acha ichemke kiasi dakika 5
- Kisha tia limau uache ichemke kidogo, epua kachumbari yetu yakulia mihogo tayari.
Sasa mihogo yetu twaweza kuila muda wowote, kwa chai, maji na hata juisi na hata ukipata samaki wakukaanga hunoga mno. Nasio lazima uwe na kachumbari waweza kula na tomato, chilli sio mbaya,
Karibuni sana.
Hii kitu nimeikopi hapo chini kwenye link
Mapishi | Jinsi ya Kupika | Blogu #1 Kwa Mapishi Mbalimbali ya Kiswahili
mihogo ya kukaanga na chachandu | Jinsi Ya Kupika