Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Siku hizi kuna foleni ya kutisha maeneo mengi ya Dar. Yaani Hali ni tete
Jinsi ya kupunguza makali
Kwanza: Beba vitu vya Kula, bites zisikosekane kwenye gari au kama ni wa public transport kwenye pochi au kibegi Beba misosi na maji. Juzi kidogo nizimie nnavyopenda kula, masaa mawili tumesimama pale Mwenge, nimekoma
Pili: Jitahidi kuwahi kuondoka nyumbani kwenda unapotaka.
Kama umealikwa harusini saa mbili usiku, Fanya Tu kuondoka nyumbani saa Tisa mchana, saa kumi na mbili uwe ukumbini. Ukitoka nyumbani saa moja jioni utafika watu washaenda honeymoon na mtoto ashazaliwa.
Jana nilikutana na msafara wa Bibi harusi saa Tatu sijui walienda kupiga picha wapi Ile Mbezi ya chini, alikuwa analia tu njia nzima magari hayatembei. Sijui walienda kukuta wageni?
Tatu: Usipende kutoka na watoto wadogo bila sababu za msingi; ni kuwatesa. Njaa, kujisaidia etc sio fair
Nne: Kama sio lazima sana, usitoke na gari tumia tu boda. Sema ukimwagwa huko utajua mwenyewe!
Ila muhimu tunaomba serikali iingilie Kati jamani tunateseka
Jinsi ya kupunguza makali
Kwanza: Beba vitu vya Kula, bites zisikosekane kwenye gari au kama ni wa public transport kwenye pochi au kibegi Beba misosi na maji. Juzi kidogo nizimie nnavyopenda kula, masaa mawili tumesimama pale Mwenge, nimekoma
Pili: Jitahidi kuwahi kuondoka nyumbani kwenda unapotaka.
Kama umealikwa harusini saa mbili usiku, Fanya Tu kuondoka nyumbani saa Tisa mchana, saa kumi na mbili uwe ukumbini. Ukitoka nyumbani saa moja jioni utafika watu washaenda honeymoon na mtoto ashazaliwa.
Jana nilikutana na msafara wa Bibi harusi saa Tatu sijui walienda kupiga picha wapi Ile Mbezi ya chini, alikuwa analia tu njia nzima magari hayatembei. Sijui walienda kukuta wageni?
Tatu: Usipende kutoka na watoto wadogo bila sababu za msingi; ni kuwatesa. Njaa, kujisaidia etc sio fair
Nne: Kama sio lazima sana, usitoke na gari tumia tu boda. Sema ukimwagwa huko utajua mwenyewe!
Ila muhimu tunaomba serikali iingilie Kati jamani tunateseka