Jinsi ya kulinda viungo ninavyovifunga kwenye vifuko au makopo vikae muda mrefu visiwe na vijidudu

Jinsi ya kulinda viungo ninavyovifunga kwenye vifuko au makopo vikae muda mrefu visiwe na vijidudu

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,357
Reaction score
3,550
Habari za mihangaiko

Kwa wale wenye uzoefu (au wajuao) wa kufunga viungo (spices) kwenye vifuko au makopo, nini kinatakiwa kifanyike kuzuia wadudu au vijidudu kujitokeza na kushambulia viungo ambavyo vimeshafungwa baada ya kukaa mda kidogo tu.

Je, kuna ingredient yoyote inaongezwa kuweza kuzuia uzaliano wa hao wadudu?

SWALI LA NYONGEZA:
Hii biashara naona kuna ambao wanaifanya je inabidi kupitia kwa mamlaka kama TBS and the likes kwenda ikapitishwe au nikutafta tu lebo yangu kuprint vifungashio na kufunga sababu ni small scale production tu?

Asante sana wapendwa kwa msaada.
 
Shirika la viwanda vidogo wanatoa mafunzo, nenda kapate shule,

Wanafundisha usindikaji wa bidhaa vyakula na mambo yote yanayohusu ujasiriamali.

TBS nenda baada ya kuona upepo wa biashara yako inakua kubwa na unahitaji kupeleka bidhaa zako kwenye maduka makubwa kama supermarkets, kwa namna yoyote ukiona bidhaa yako inawafikia wateja wengi au inamwelekeo mzuri wa kuwa kubwa katika soko/mauzo ni vizuri kuwa na certificate zote ili kuwalinda walaji.

Bidhaa zako zitapimwa bacteria na fungus mbalimbali kwa kiwango husika uki pass test utapewa certificate na maelekezo mengine uki fail unapaswa kurekebisha kilicholeta majibu mabaya kisha watafanya tena tests nyingine.

Kila la heri.

Nimejifunza kupitia wajasiriamali binafsi sio mzalishaji wala mtengenezaji, hayo ni machache niliyoelekezwa.
 
Mawazo mengine jamani tafadhali
 
Mie kwasasa sinunui yale makubwa maana yanakaa sana na kuharibika.

Nilikuwa nanunua:-

Karafuu Mfuko wa Elfu 10
Iriki Mfuko wa Elfu 12
Mdalasinini Mfuko wa Elfu 5
Binzali Nyembamba Mfuko wa Elfu 5.
 
Mie kwasasa sinunui yale makubwa maana yanakaa sana na kuharibika.

Nilikuwa nanunua:-

Karafuu Mfuko wa Elfu 10
Iriki Mfuko wa Elfu 12
Mdalasinini Mfuko wa Elfu 5
Binzali Nyembamba Mfuko wa Elfu 5.
Mkuu sijakuelewa. Wewe unanunua kwa ajili ya kutumia nyumbani kwako sio?
 
Mkuu samahani wapi wanatoa vibali vya kusafirisha viungo vya chakula nje like karafu na mdalasini.
Shirika la viwanda vidogo wanatoa mafunzo, nenda kapate shule,

Wanafundisha usindikaji wa bidhaa vyakula na mambo yote yanayohusu ujasiriamali.

TBS nenda baada ya kuona upepo wa biashara yako inakua kubwa na unahitaji kupeleka bidhaa zako kwenye maduka makubwa kama supermarkets, kwa namna yoyote ukiona bidhaa yako inawafikia wateja wengi au inamwelekeo mzuri wa kuwa kubwa katika soko/mauzo ni vizuri kuwa na certificate zote ili kuwalinda walaji.

Bidhaa zako zitapimwa bacteria na fungus mbalimbali kwa kiwango husika uki pass test utapewa certificate na maelekezo mengine uki fail unapaswa kurekebisha kilicholeta majibu mabaya kisha watafanya tena tests nyingine.

Kila la heri.

Nimejifunza kupitia wajasiriamali binafsi sio mzalishaji wala mtengenezaji, hayo ni machache niliyoelekezwa.
 
Mkuu samahani wapi wanatoa vibali vya kusafirisha viungo vya chakula nje like karafu na mdalasini.
Wizara ya kilimo mkuu.

Vibali ni bure hamna gharama yoyote.

Ila unatakiwa uwe na vyeti vya ubora.

Na taarifa kadhaa kuhusu wewe na kampuni yako.

Ukienda wizara ya kilimo utapata utaratibu wote.
 
Shukran mkuu
Wizara ya kilimo mkuu.

Vibali ni bure hamna gharama yoyote.

Ila unatakiwa uwe na vyeti vya ubora.

Na taarifa kadhaa kuhusu wewe na kampuni yako.

Ukienda wizara ya kilimo utapata utaratibu wote.
 
Shirika la viwanda vidogo wanatoa mafunzo, nenda kapate shule,

Wanafundisha usindikaji wa bidhaa vyakula na mambo yote yanayohusu ujasiriamali.

TBS nenda baada ya kuona upepo wa biashara yako inakua kubwa na unahitaji kupeleka bidhaa zako kwenye maduka makubwa kama supermarkets, kwa namna yoyote ukiona bidhaa yako inawafikia wateja wengi au inamwelekeo mzuri wa kuwa kubwa katika soko/mauzo ni vizuri kuwa na certificate zote ili kuwalinda walaji.

Bidhaa zako zitapimwa bacteria na fungus mbalimbali kwa kiwango husika uki pass test utapewa certificate na maelekezo mengine uki fail unapaswa kurekebisha kilicholeta majibu mabaya kisha watafanya tena tests nyingine.

Kila la heri.

Nimejifunza kupitia wajasiriamali binafsi sio mzalishaji wala mtengenezaji, hayo ni machache niliyoelekezwa.
Mkuu Asante sana kwa mara nyingine. Nimeenda SIDO/VETA ya pale vingunguti tena kwa bahati nzuri nika design mpaka logo na kufanya mambo mengine mengi maana pale ofisi ziko karibu karibu nyingi kushuulikia wajasiriamali

Naomba ucheki inbox yako mkuu
 
Mkuu Asante sana kwa mara nyingine. Nimeenda VETA ya pale vingunguti tena kwa bahati nzuri nika design mpaka logo na kufanya mambo mengine mengi maana pale ofisi ziko karibu karibu nyingi kushuulikia wajasiriamali

Naomba ucheki inbox yako mkuu
Vingunguti kuna VETA au SIDO?
 
Back
Top Bottom