Duh! kwahiyo na kazi unaacha kabisa ili utunzwe!?Lazima tuwachune raha tuwape alafu waondoke burebure
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume kaptula mpo
Halafu wanamponda mzungu kusapport mashoga hawajui kuwa nawao wanajigeuza mashoga bila kujijua kisa kupenda kitongaWanaume Tanzania wanekuwa endangered species
Eti eee.Hizo ni Tam balaa