Jinsi ya kumfungulia mashtaka mdaiwa sugu

Walnut Creek

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
5,830
Reaction score
6,315
Habari zenu wanasheria, naomba msaada wenu kuna watu na wadai pesa muda mrefu na uvumilivu umenishinda. Nimepewa ahadi za kutosha ambazo hawazitimizi na leo nimeamua kuja kwenye jukwaa lenu kuomba ushauri ni njia gani za kisheria ninaweza kutumia wanirudishe pesa zangu bila usumbufu mwingine.
 
Unawadai kiasi gani...na je unaushahidi wa kuwa wana pesa zako au uliwapa pesa zako?maana bila ushahidi unaweza kushindwa kupata pesa zako

Kwa mambo ya mahakamani akijibu hiyo ya chini kapoteza
 
Ni madai ya miaka mingapi kwani nayo yana ukomo kama hujayadai mapema
 
Yani kuna sehemu handeni.huko nikwenda kupiga kazi fulani.kuna vitu nimejifunza watu wa nguvu giza wapo.
 
Unawadai kiasi gani...na je unaushahidi wa kuwa wana pesa zako au uliwapa pesa zako?maana bila ushahidi unaweza kushindwa kupata pesa zako
Ushahidi pekee nilionao ni transaction ya Mpesa niliyomtumia. Je unatosha kama ushahidi? Ni rafiki yangu lakini naona sasa ananipanda kichwani na dharau juu.
 
Miaka miwili kama hakuna mkataba na miaka sita kama mna mkataba
Asante Sana mkuu. Sina mkataba nae, najaribu kutengeneza mazingira aji commit kwenye SMS kwasababu amekuwa mjanja anapiga simu na hajibu msg.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…