Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Tena ukitaka kumkomesha zaidi akija kukuaga kitandani mwambie dear hata mimi nilitaka kwenda hiyo sehemu basi tutaenda wote. Ukimaliza nilitaka kwenda kumtembelea ndg yeyote mtaje walaah ataahirisha na kuanza kusema kuwa kama tunaenda na wewe basi mimi siendi au akagaili kabisa ukiona hivyo jua alitaka akamegwe!
Siyo kila akitoka nipale unapomwona vishughuli avimishii jua iko jamboHivi kutoka ni lazima akamegwe?<br />
Kama ana miradi ambayo hahitaji mzee ajue! Anaenda kujua mapato yanaendeleaje bana!<br />
Si wote huaga ili wakatafunwe!.
Hivi kutoka ni lazima akamegwe?
Kama ana miradi ambayo hahitaji mzee ajue! Anaenda kujua mapato yanaendeleaje bana!
Si wote huaga ili wakatafunwe!.
Mkeo ukiona anaomba ruhusa yakutoka 2week be for ujue kunakitu sichakawaida!!jifanye kama ujali maana kilasiku atakuwa anakukumbushia hasa siku zikiwa zimekaribia akikumbishia mwambie sawa darling nimeisha kuelewa hiyo siku yeye anayotaka kutoka shinda nyumbani siku hiyo atafanya shughuli zake mapema saa tano ameisha maliza kajipodoa pafyum yake kajipulizia wewe nenda chumbani jilaze lazima akuage sasa jifanye unatoka katika usingizi kabla ajaondoka muite preta njoo akija mwambie nataka game!!atakukatalia kwanguvu zote nawewe usilegeze msimamo akija do one goal!!mwambie haya sasa unaweza kwenda utaona kanyong'onyea mara aseme sijui nisiende??akienda hatakaa mda mwingi atarudi sasa jiulize maandali ya week 2 yalikuwa ya nini??jua kulikuwa na jambo hiyo ndiyo dawa!!Happy new year.
unamwambia akirudi tena una hamu ya game?hivyo akipiga hesabu bao zaidi ya tatu mhh atahairisha
I can agree with you but i thought that is last weapon to the woman!coz no body who can try this in hermaind!I think for working women this doesn't apply @ all,&
Na mwanamke kupendeza so shughuli zikimzidi anajisoap tu ilimradi apendeze ni hulka yetu kupendeza<br />
and I thought mume anaagwa! Haombwi ruhusa , kama ambavyo na yeye akitoka anaaga, .....pia using sex as the last weapon also doesn't work, ni kuwa na maelewano na mawasiliano<br />
Eng Nsiande
Jamani nadhani baadhi yetu humu ndani hatuwajui wanawake vizuri na mnataka kuleta ligi na wao unaweza kuumia mpaka ukawa kichaa.
Mwanamke huwa hachungwi tena akiona unamchunga sana anaweza kujaribu aone kama kweli wewe ni bingwa wa kuchunga atatoa mzigo kwa mtu wa ajabu sana kwa kukukomoa kama vile hata mlinzi wako wa geti au houseboy,jirani,na hata rafikiyo na kwa wale wa kwenye nyumba za kupanga anaweza kuliwa hata bafuni we ukidhani anaoga.
Ni hivi mwanamke hachungwi mpe uhuru uliopitiliza atajisahau na kama ni kicheche kweli utamkata kirahisi sana (kuku wako manati ya nini?) atakuona we hujui lolote then ataingia kwenye mtego wako mbali na hapo usipoteze muda kuanza kufuatilia mwanamke wako kama paka ni vigumu kuona mavi ya paka wako smart sana.
Mpe adhabu kubwa kuliko zote mpende na ujinga wake huku ukimwonyesha kuwa unajua kila kitu anachofanya.
Kuna mtungo mmoja nilialikwa yule dada alikuwa kalewa chakari na hakujua kama kuna mtu 3 tunakula mzigo alikuwa anajituma si kitoto ilikuwa enzi za mwalimu kipindi ngoma hamnaHapo Mkuu kwa wale wanaopenda ngoma iliyochakachuliwa kabla basi utakuwa umewaandalia vizuri kweli,na kama wewe mwenyewe ukionja ngoma iliyochakachuliwa kabla yako basi nadhani utaanza kuchukua wake za watu na utawapa sharti kabisa kuwa kabla ya kuja kwangu mumeo akuchakachue japo kidogo,maana utamu wake hauelezeki,na kama huniamini mimi tafuta wazee wa mitungo watakuhakikishia hili ninalokuambia.
Kuna mtungo mmoja nilialikwa yule dada alikuwa kalewa chakari na hakujua kama kuna mtu 3 tunakula mzigo alikuwa anajituma si kitoto ilikuwa enzi za mwalimu kipindi ngoma hamna
Pheww!!!! Goshhhhh hapo hatari kweli kweli ila kama ulivyosema Derimto kweli mwanamke achungiki kabisa akiamua kufanya jambo lolote la ajabu anaweza kufanya cha muhimu wewe mpe uhuru wa kutosha autumie vya kutosha kiasi kwamba anaweza kujisahau na hapo ndio unamkamata kirahisi
Kuna mtungo mmoja nilialikwa yule dada alikuwa kalewa chakari na hakujua kama kuna mtu 3 tunakula mzigo alikuwa anajituma si kitoto ilikuwa enzi za mwalimu kipindi ngoma hamna