Jinsi ya kumteka Beki tatu mpya

Kam hadi Leo kwa tz hii,,,tunaelimishana mambo km hayo,,,kuna hatr kwamba hatutafika huko tuendakooo
Ndio maana kuna majukwaa ya watu wa kila aina ndan web hii ya jamii forum sasa nashangaa unataka busara ndani ya jukwaa la utani sijui kama upo sahihi ,tembelea majukwaa yanayo endana na unacho hitaji huwezi kumfanya kila mtu afikirie utakavyo, na jamii forum kwa kulijua hilo wakaweka majukwa mengi ili kila mtu aende anako hitaji kutokana na mahitaji ya moyo wake.
 
Duh kumbe ndo mnavyowafanyia dadazetu ivo inabidi mshtakiwe hiyo ni SEXUAL EXPLOITATION AND ABUSE (SEA) coz kama sio shida kumleta apo usingemuingiza kwene kilengeo kirahis namna iyo..
alafu mbona mkiwapa mimba hamuwafuati watoto wenu huku vijijini..
 
Na usisahau hakuna beki 3 mgumba
 
Mzee wa kichaga umenochekesha sana...shikamoo mama, chakula kipooo!!!???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina mke wa mtoto, bado nina mchepuko moja safi tena uko makini kabsa.
Beki tatu wa nini tena?
Labda nyie wazeiya wa ugali wa Shikamoo.
 
Mzee wa kichaga umenochekesha sana...shikamoo mama, chakula kipooo!!!???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huna akili mzee wa kichaga afu tena unamwita mama?
Au huko kwenyu unasalimia hivyo baba zako?
 
Huna akili mzee wa kichaga afu tena unamwita mama?
Au huko kwenyu unasalimia hivyo baba zako?
Ohooo kumbe hujanielewa, hapo shikamoo mama ninamaanisha yule kijana uliyemwambia anakula ugali wa shikamoo mama na sio wew mkuu
 
Ohooo kumbe hujanielewa, hapo shikamoo mama ninamaanisha yule kijana uliyemwambia anakula ugali wa shikamoo mama na sio wew mkuu
Sorry sana mkuu, mimi mwenyewe nimeshagaa sana maana najua uelewa wako, nikafikili Labda umempa shemeji yetu ID yako.
 
Hayo yote unayafanya wazazi. Wako wapi majipu hayo
 
back 3 ukimkazia sura tu Kwa sisi wa ugali wa weuli.unajilia kiulaini ukitaka umkamate zaidi mfundishe kutumia tv haa haaaaaaaaaaa hakuna back 3 mgumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…