Jinsi ya kumtunza :"" pdidy""

Anagongwa kivipi??? Gari lamgonga au???
 


HAPA KIONDOLEWA CHINI YA ULINZI MKALI KUELEKEA BABATI ...KWENYE MSIBA WA MWANAE MUNGU AMPE NGUVU KTK WAKATI HUU MGUMU AMBAO ANATEGEMEWA KULIKO RAIS WATANZANIA
HABARI ZINASEMA AMESHARUDI READY KUANZA KAZI JUMATATU
 
Dah! Hicho kichwa cha habari nilidhani kafa yeye sasa! Pheeeewwww!
 
Pole digna jamani...yuko fit ila endeleza sala zako kwake usiache huyu ni zaidi ya raisi wao kikwete
 
Muhimu sana Kufahamu!



st1\:*{behavior:url(#ieooui) }
KWA WANAWAKE TU:
Nini cha kutarajia kutoka kwa mpenzi wako mkiwa na faragha chumbani kwenu?
MOJA
Haijalishi ni handsome kiasi gani au msomi kiasi gani hadi anaitwa Dr. au Professor; haijalishi ni diplomat au businessman au mbunge au tajiri linapokuja suala la sex wanaume wengi (siyo wote) ni zero wa kufahamu nini kinaweza kumfanye mwanamke asisimke na kufurahia sex.
MBILI
Usijidanganye kwamba anajua mapenzi hata kama huko nyuma aliwahi kuwa na mpenzi.
Ukiwauliza wanaume wengi kisimi (clitoris) ni kitu gani katika mwili mwanamke, wanakuuliza kwa mshangao “Unasema kitu gani
TATU
Usijidanganye kwamba anajua ramani ya kupita (roadmap) katika kukufikisha kwenye raha ya mapenzi (kileleni) kama unavyohitaji bila wewe kumwambia; Ukweli ni kwamba unahitaji kumwambia si mara moja tu bali mara kwa mara vile unapenda akufanyie ili ufurahie sex na yeye kama vile;
“Mpenzi huwa najisikia raha sana unapofanya hivi au vile”
“Nilipenda sana na kiujisikia raha sana jana ulipoanza kwa kufanya hivi ila leo ningtependa uanze hivi”
“Huwa najisikia raha unavyochezea ………………….. namna hivi”
Baada ya hapo relax na mwache aendee kukupa raha!

KWA WANAUME TU:
Nini mpenzi wako (mke wako) anahitaji kutoka kwako mkiwa faragha!
MOJA
Usifikirie sex ni bingo, sex ni sehemu ya mahusiano na ni kitu ambacho ni ziada baada ya kuimarisha na kutimiza mambo mengine katika mahusiano hata kama ni madogo madogo lakini kwa mke wako ni mambo muhimu kama vile kumsaidia kazi, kumwambia “nakupenda” kupiga naye story mbalimbali za maisha kwa upendo, kupeana zawadi nk.
Mwambie Mr Happy awe mtulivu.
MBILI
Jitahidi kutimiza mahitaji ya mpenzi wako kwanza ndo yaje yako kila eneo la maisha yenu ya mahusiano.
TATU
Fahamu kwamba mpenzi wako anahitaji mazingira ya kimapenzi romantic, kujisikia unamjali (caring), unamwamini (trust) , kiasi cha kujisikia salama (safe/protected) na si kukimbilia sex.
Baada ya hapo hayo mengine utazidishiwa na atajituma kukupa kile unahitaji

 
Je, Utakubali?




Fikiria wewe ni binti (au mzazi wa binti) ambaye unataka kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma (illiterate) utakubali?

Ni kweli elimu ni kitu kizuri hata hivyo elimu si kigezo cha upendo.
Naamini kitu cha msingi kwa mahusiano yoyote ni upendo wa kweli, kujali, kufanana na kuelewana.
Ukweli binafsi nitakubali kuolewa na mwanaume illiterate kwani inawezekana ana sababu za msingi za yeye kutokwenda shule na baada ya kuoana tunaweza kushauriana ajiendeleakimasomo.
Joyce M.

Ukweli nitaolewa na yule nimeamua na nimempenda na angalau awe ameelimika.
Sidhani kama nitaweza kukubali ombi la mwanaume yeyote kunioa wakati hana elimu yoyote na hajaelimika, je itakuwaje kwa watoto tutakao wazaa? Je anaweza kupata kazi nzuri kwa ajili ya kuleta kipato cha familia huku hajasoma?
Pia kwa kuwa mimi mwanamke nimesoma na yeye hajasoma maana yake hatufanani na kutokuwa na gap kubwa sana katika uelewa wa mambo kitu ambacho sikipendi.
Margaret S.

Nimeona mfano halisi wa dada ambaye alikuwa na elimu ya kidato cha sita na akaoewa na kaka mwendesha pikipiki ambaye alikuwa hana shule na hajaelimika kwa lolote.
Baada ya dada kuolewa kilichofuata ni kulea mtoto mmoja baada ya mwingine hadi ndoto zake za kuwa lawyer zikafutika.
Pia huyu mwanaume illiterate huwa hana shukurani kwa namna yule dada anavyojitahidi kuhakikisha anaanya kila analoweza familia iwe na mkate wa kila siku na kusomesha watoto.
Sitakubali binti yangu ajiingize kwenye ujinga kama huo hata siku moja na pia nitajitahidi kuelimisha mabinti wasije ingia katika matatizo kama hayo.
Mrs Christina B.


Kama kuna upendo na kuna kufahamiana na kuelewana na kama ni kweli huyu mwanaume ana sifa ninazohitaji Ukweli nitakubali tuoane na nitaomba Mungu aniongoze.
Julieth M.

Kwangu kuwa illiterate si kizuizi hasa linapokuja suala la mahusiano pale tu kukiwa na kuelewana kati yangu mimi binti na huyo mwaname na kama ana sifa zile niahitaji. Najua kuna matatizo na watu watasema sana kwa kumkubali huyo kaka ambaye hana shule kabisa hata hivyo kama kuna kujitoa na kumuomba Mungu hakuna lisilowezekana.
Esther L.

Binafsi siwezi kujiingiza kwenye jaribu la kijinga kama hilo na kuona na mwanaume ambaye hajaenda shule.
Anne K.
Na Je, wewe msomaji ungekubali? Au unasemaje ?


 
Kubebana!



Kwa nini jamii nyingi za vijana wa leo huchukua uamuzi wa kuanza kuishi pamoja kinyumba kabla ya kuoana rasmi na ndipo kuanza maisha?
Wengi hutoa sababu nyingi mojawapo ni kuokoa fedha za kutumia kwani badala ya nyumba mbili huwa nyumba moja, kutumia muda mwingi pamoja, kuwa karibu kihisia (feelings and emotions), kuzoeana kimapenzi (sexual intimate) pia ni kitu rahisi ambacho hakina gharama.
Zaidi wengi hutoa sababu kwamba wanaishi pamoja kabla ya kuoana rasmi kwa sababu wanajitahidi kuangalia namna wanafanana na kufahamiana ka undani zaidi na kujaribu kama itawezekana (testing) kuishi pamoja na kuridhika kwamba waoane (wanaogopa kununua mbuzi kwenye gunia) kwa kuchunguzana mazingira ya masaa 24 siku 7.
Je, ni kweli wachumba kuishi pamoja kwanza hupelekea kuoana na ndoa kuwa imara baada ya kuoana?
Ukweli ni kinyume chake, tafiti nyingi zinaonesha kwamba watu ambao huamua kuishi pamoja (Cohabitation, common law, kuvutana, kuishi katika dhambi, kuchukuana nk) kwanza huongeza uwezekano wa kuachana baada ya kuoana na mara nyingi wengi hata kuoana huwa inashindikana huku kila mmoja akiwa amejeruhiwa vibaya kwa kupoteza muda wake na mali zake.
Kubwa zaidi wapo ambao hufikia hatua hata ya kuzalishana watoto na hata kabla ya kuoana huachana huku mwanamke akipelekeshwa na maisha ya kutunza watoto wakati baba anaenda kuona mke mpya.
Hii style ya kuishi pamoja kabla ya kuoana si lolote wala chochote zaidi ya kupotezeana muda na kuharibiana maisha na kuweka rekodi ambazo huwa gharama kubwa kwa maisha yote ya mtu kwamba aliwahi kuishi na mwanaume au mwanamke a hakuoana naye, unakuwa umejiwekea kibandiko (label) kwamba wewe ni moja ya failures na itaku cost kujisafisha katika ile jamii.
Kwa nini ni muhimu sana kuoana kwanza na ndipo kuishi pamoja?
Pamoja na kwamba kuoana kwanza ndiyo utaratibu wenye Baraka wa ndoa zote, kuingia kwenye ndoa si mchezo au jambo dogo (kids game) bali ni agano kati ya wawili wanaoana na Mungu kwa maana hiyo lazima kuwepo kiapo (commitment) kit ambacho hufunga wawili wanaoana kuishi maisha yao pamoja bila kujali nini kinatokea mbele “No matter what”
Kiapo ambacho unaapa kwa mwenzi wako siku ya kuona ni kukubali kuishi naye maisha yako yote yanayobaki hapa duniani na ni msingi wa ndoa na kwamba hiki kiapo ni unconditional kwamba utaishi naye hata kama ni matajiri au maskini, afya njema au ugonjwa, katika shida au raha, kuwa na watoto au kutokuwa na watoto hadi kifo kitakapowatenganisha.
Wanaochukuana au kubebana na kuanza kuishi huwa katika risk ya kuachana muda wowote kwa kuwa hakuna kiapo, hakuna ahadi (covenant) hakuna commitment, hakuna furaha ya kweli, hakuna amani ya kweli kwa kuwa si utaratibu wa ndoa na ni njia nzuri ya kuachana na kuharibiana maisha na mara nyingi anayeumizwa zaidi ni mwanamke.
Jambo la msingi na la kukumbuka ni kwamba unapofahamu kwamba mwenzako yupo fully committed kwako hii husababisha ujisikie vizuri (security) na huweza kuimarisha kujisikia kitu kimoja na wewe ni mali yake na zaidi mnaimarisha ile bond ya kuzoeana na kuwa karibu kimapenzi kwa kuwa unafahamu mwenzangu amejitoa na kunikubali maisha yake yote.
Kubebana na kuchukuana na kuanza kuishi pamoja kabla ya ndoa ni njia nzuri ya kufanyia mazoezi ya kuachana
 
Anamuomba mume wangu jioni na usiku tu!



SWALI
Hapa kwa jirani yangu kuna mwanamke mrembo sana ambaye ameachwa na mume wake na kubaki mwenyewe kwenye hiyo nyumba.
Kitu cha ajabu ni kwamba kila mara kukiwa na tatizo la kuhitaji msaada wa kutengenezwa kitu nyumbani kwake (kama kuweka bulbu nk ) basi huja kumuomba mume wangu akasaidie.
Nimeanza kuwa na wasiwasi na mume wangu kuwa na uhusiano usio wa kawaida na huyo mwanamke kwani kila akiitwa anaenda bila kuniuliza au kukataa hata kama alikuwa anafanya kitu cha msingi hapa nyumbani, mbaya zaidi huyu dada figure yake si utani ameumbika na kikubwa zaidi matatizo yake ya kutengenezewa vitu hutokea jioni na usiku tu na si mchana.

Najisikia wivu sana.
Je, nifanyeje ili kuondokana na hii hali na ikiwezekana mume wangu kuachana kabisa na kutoa msaada wa aina hii kwa mwanamke huyu?

MAJIBU
Kiukweli hata ningekuwa mimi kwa kweli ningejisikia wivu kama unavyojisikia wewe na una haki ya kujisikia wivu kwani inaonesha huyo mwanamke jirani yako anatumia advantage ya wema na huruma za mume wako kutimiza mahitaji yake na pia namna anafanya inaleta maswali ambayo mwanamke yeyote ambaye anampenda mume wake na kumlinda lazima ajisikie wivu.

Huyo mwanamke ameshafahamu kwamba mume wako ni mtu rahisi na mtu wa watu na kwamba anakuwa tayari kusaidia muda wowote (Pleaser) na kutokana na huo wema wake huyo mwanamke anaamini (anafahamu anachokifanya) kiasi cha kumvuta na mwishowe kutimiza malengo yake.
Ingawa hatuna ushahidi kwamba kitendo cha mume wako kuwa mkarimu kwa huyo dada kina maanisha uhusiano usio wa kawaida, bado unatakiwa kuwa makini kulinda kilicho chako kabla ya mambo kuharibika, nimefurahi kwa uwezo wako wa kugundua kwamba huo uhusiano unaweza kuleta shida kwani ni vizuri kuwa mtu wa kabla ya tukio kuliko kuwa mtu wa baada ya tukio.

Jambo la msingi ni wewe kuwa na mpango kamili (kumpa darasa mume wako kwa upendo na heshimu) ambao utasaidia mume wako kujisikia vile wewe unajisikia kwani huyo mwanamke inaonekana amewasha moto na dawa ya moto wakati mwingine ni moto, hivyo na wewe mwambie mumeo wazi na bayana vile unajisikia kwa kumpa mfano kama ifuatavyo.

Muulize yeye mumeo atajisikiaje ikitokea kuna mwanaume hapo mtaani ambaye ameachana na mke wake na akawa anakuja hapo kwenu kukuomba wewe mwanamke kwenda kumsaidia kuonja chakula alichopika kama kimeiva au ukamsaidie kumwelekeza kama sabuni anayotumia kufua nguo inaweza kutakatisha nguo au la huko nyumbani kwake saa za jioni na usiku.

Mpe hiyo picha na muulize atajisikiaje.
Ndipo umwambie ndivyo wewe unajisikia kwa kile anaanya na yule mwanamke jirai yenu, hii ndiyo njia pekee ya kumsaidia mume wako asiwe handyman hadi chumbani kwa huyo mwanamke.

Vinginevyo, tafuta simu ya fundi (handyman) yeyote unayemjua au tafuta fundi na nenda naye moja kwa moja kwa huyo mwanamke na ukifika mwambie “Nimeona hapa nyumbani kwako unahitaji fundi mara kwa mara na nimeamua kukutafutia fundi wa kudumu ambaye muda wowote, siku yoyote ukitaka msaada atakusaidia na unaweza kupanga naye ni namna gani awe anakuja kukusaidia kwani mimi na mume wangu tunahitaji muda pamoja kushughulia masuala ya familia”
Mwache fundi hapo na wewe nenda nyumbani na mwambie mumeo tukio zima.

Kama huyo mwanamke ana mishipa ya fahamu basi atafahamu umempa ujumbe gani.
Lazima umuoneshe mume wako na huyo mwanamke kwamba na wewe una backbone.

Be strong

BY MBILINYI.BLOGSPOT.COM​
 
Ngoja wasomi waje mi no comment maana kidato hakijapanda kabisa
 
Kumlinda Mr. Happy



Afya ya mwanaume ni kitu muhimu sana na ni kitu kizuri.
Je, umewahi kusikia usemi kwamba mwanaume mwenye afya ni yule ambaye anaweza kusimamisha uume wake bila matatizo?
Hii ina maana kama wewe ni mwanaume, afya ya uume wako ni kitu muhimu sana, wanaume wengi hawana mpango wa kujali afya ya kiungo hiki chenye thamani.
Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kuhakikisha unakuwa na erection kila siku.
Je, Mr. Happy wako kila asubuhi huamka huku amekupigia salute?
Kama Mr. Happy anakusalimia kila asubuhi basi afya yake ipo fantastic.
Je, ni namna gani unaweza kumlinda Mr. Happy kuwa imara na mwenye afya tele kila wakati?
MOJA: UWE MAKINI NA VYAKULA
Mlo ambao haufai kwa moyo pia ni hatari kwa Mr happy kupata erections.
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba kula vyakula ambavyo husababisha heart attack pia huweza kuzuia flow ya damu kwa Mr. Happy kule south pole.
Wanaume wambao wanakula matunda, mboga za majani, nafaka kamili, na mafuta ambayo hayana fatty kama vile olive oil na samaki wanauweza wa kuwa na erections bila matatizo.
MBILI: UZITO WAKO

Mwanaume ukiwa overweight unajikusanyia matatizo mengi sana ya kiafya.

Hii ni pamoja na diabetes (hasa type 2) ambayo husababisha kuharibika kwa nerves mwilini na nerves zikiharibika huko kwa Mr. Happy basi inakuwa ngumu sana kuwa na erections.

Ndiyo maana wagonjwa wa kisukari hujikuta wanakwepa kwepa chumbani mama akishamvalia kipande cha kagha kwani Mr. Happy huanza kufanya yale ambayo hajatumwa (anagoma)



TATU: SHINIKIZO LA DAMU

Kuwa na kiwango cha juu cha cholesterol na shinikizo la damu huweza kuharibu mishipa ya damu na hii ni pamoja na huko chini kwa Mr. Happy na hii hupelekea kukosa erections.



NNE: KILEVI

Walevi wa pombe wengi huishia kuharibu maini, nerves na hali zingine ambazo hupelekea kukosa erections.

Chapombe wengi hujikuta wanashindwa kuwa na erections ili kuwaridhisha wake zao.

Hivyo kama ni mlevi acha pombe

TANO: MAZOEZI
Kuna ushahidi ulio wazi kwamba wanaume wengi ambao maisha yao ni sedentary (kulaza damu, kukaa tu kizembezembe) hushindwa kuwa na erections.
Mazoezi ya kukimbia, kuogelea husaidia kuimarisha erections.
Pia kuendesha baiskeli kwa muda mrefu huweza kusababisha kukosa erections, ingawa kuendesha baiskeli kwa safari fupifupi haina shida, pia ni muhimu kuvaa pants nzuri na pia kusimama kwenye baiskeli mara kwa mara, pia uwe makini na aina ya seat ya mkweche wako kwani kuna seat husababisha genital numbness.
SITA: TESTOSTERONE
Hata mwanaume mwenye afya njema, anapofika umri wa miaka 50 kiwango cha homoni ya testosterone huanza kupungua na dalili mojawapo ni kukosa hamu ya sex, kuwa na mood tofauti tofauti, kukosa stamina, au kushindwa kutoa maamuzi haraka, ukiona hivi wasiliana na daktari wako aangalie ni vipi anaweza kukusaidia.
SABA: OGOPA STEROIDS
Haya madawa hutumiwa na wanamichezo ili kuongeza nguvu au kwa mabaunsa (body builders).
Tatizo la haya madawa huweza kuzikamata na kuzibana balls kiasi cha kushindwa kutengeneza testosterones.
NANE: ACHANA NA SIGARA
Kuvuta sigara huweza kuharibu mishipa ya damu na huzuia damu kumfikia Mr. Happy pia nicotine ndani ya sigara huweza kufanya mishipa ya damu kusinyaa na huzuia damu kwenda bondeni na matokeo hakuna erections.
TISA: CHUNGA SANA NAMNA MR. HAPPY ANAVYOJIDAI
Baadhi ya matatizo ya kukosa erection hutokana na injuries za Mr. Happy wakati wa sex.
Kuzuia Mr. Happy asiiname kwa maumivu ni muhimu kuhakikisha kwamba kabla ya kuingia kwenye uke, uke unakuwa wet na lubricated kiasi cha kutosha.
Na kama mwanamke anajizungusha kiasi cha kumpindisha Mr. Happy hadi unajisikia maumivu ni vizuri kujipa stop palepale au kutafuta style nyingine ambayo Mr happy atajisikia comfortable.
Kama mwanamke yupo on top na wakati anajipendelea na downward and upward movement na Mr. Happy halengi uke na kuingia sawasawa, maana yake Mr. Happy anaweza kuwa crushed na hakuna uume duniani unaweza kuhimili hicho kitendo.
KUMI: ZUIA MSONGO WA MAWAZO
Ukiwa na msongo wa mawazo (stress) maana yake kiwango cha adrenaline mwilini kinakuwa tofauti na matokeo yake mishipa ya damu husinyaa na damu haitaweza kwenda kwa Mr. Happy na kama kawaida Mr. Happy akikosa flow ya damu basi hawezi kuwa na erections.
Kuwa bora emotionally ni kuipa sex boost
 
Ila on the positive side, mnafahamiana kwa karibu na kila mmoja ana chance kubwa sana ya kufanya uamuzi wa kuingia kwenye ndoa, asije juta baadaye!!!
 
jamani kwani leo kuna mashindano ya thread????????

Mod mbona hamjatuambia????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…