Jinsi ya kumtunza :"" pdidy""

Jirani ndio ndugu yako,akiomba mwiko umsaidie,akiomba mchi umsaidie,akiomba kinuuu umsaidie,
UNAPOPATA SHIDA USIKU WA MANANE,JIRAN YAKO NDIO WA KUKUSAIDIA
MWACHE MDAU AJITOLEE
 
njoo nikufunze kumtuliza mume, hata akienda huko asimtamani jirani yako. Paka akishiba huwaacha panya wapite. Mshibishe mumeo.

Hivi naweza kushiba kweli?
 
1.ANDIKA ''UMEUMIA'' POLE SANA.
2.WANAPENDANA SANA WOTE WAWILI.
3.VUMILIA MAISHA NDIVYO YALIVYO.KAMA HUWEZI KUVUMILIA NA UKO TAYARI KUMWACHA,FANYA HIVI:
Jifanye hujui kinachoendelea,akisema anaenda huko wewe mwambie unasikia usingizi unaenda kulala.NA UKALALE KWELI.
Baada ya wiki hivi jirani akiendelea kukusadia majukumu yako, SASA akitoka kaa muda wa nusu saa KISHA fuatilia aliko mumeo.
Sina shaka utamkuta juu ya kifua cha jirani akisema'' you only''.Hapo sasa nenda kamwite jirani unapata ushahidi. UAMUZI UNAMPA TALAKA.
TAHADHARI,
Kama una sijui,BP au sheli mpango huu haukufai,utatufia bure kwa presha. ITABIDI UVUMILIE TU.
 
Umeona eeh, wavivu wa kusoma wanapita tu sehemu kama hizi :A S 39:



LOL ..Nili ahirisha kusoma hasa niliPoona ni contrary na matarajio yangu ya kumbamba P dd, nilipoona hii comment imenikamata pabaya imebidi nirudi mkuku...
 
Asante Pdidy, nimeiprint tayari kumuwasilishia huby, naona inamfaa'
 
Asipo angalia huyo dada atanyang'nywa anajiona. Kitu gani kinamzuia kumsindikiza mumewe akiitwa? kila akiitwa aambatane nae anone kama huyo dada atamuita tena.
 
Kizuli kula na mwenzio!! unatanaka ule mpipi mwenyewe!
 
Kwani hiyo bulb anayokwenda kuiweka usiku huwa anaiweka sehemu gani ?
 
Huyu Dada anashindwaje kwenda piga Chabo /Kozi-woman? ili ahakikishe km kazidiwa mpigo naye ampe.
Akizubaa mwenzake atabeba ki-band halafu mtoto asikataliwe kuletwa hapo kwake.
Kwanini kaachika hajatueleza, au mume kaondoka na Ngoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…