Jinsi ya kumudu furaha katika maisha

Jinsi ya kumudu furaha katika maisha

StanWhizz

New Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
4
Reaction score
5
KATIKA MAISHA ILI UWE NA FURAHA LAZIMA UTAMBUE:

*Katika kupoteza, Kuna kujifunza. Chukulia kwako ni funzo Songa mbelee...

*Katika kushindwa, Kuna fursa. Ukishindwa hapa, ni fursa ya kuanzisha safari nyingne, we Songa mbelee...

*Na hakuna tatizo lisilo na majibu. Tafuta chanzo, na jua udhaifu na uimala wako katika kulikabili tatizo. Saka ushauri na hata msaada kama unahitajika, we Songa mbelee.

KUIWEKA FURAHA YAKO IDUMU USITAKE:

*Kumfanya Kila mtu akupende. Huwezi pendwa na wote hata Mungu Kuna wanao mchukia, We Songa mbelee..

*Achana na mtu au mpenzi anaye kusaliti, Kwani Kuna mtu anatamani sana nafasi hiyo iache wazi wengine waje...

*Usipende kujikomba Kwa watu, tambua hawatokupa furaha kamwe

*Usijaribu kuwa mkamilifu Kwa Kila mtu. Hata ufanye vzr vipi Kuna watu hawatokuelewa tuuu..

*Tambua wewe ni wa thamani sana. Kipende, heshimu hisia zako, tambua Kuna watu uwepo wako tuu unawatosha kuwapa amani ya moyo.

*Usifananishe maisha Yako na ya wengine. Jaribu kuwa wewe, ishi maisha Yako utakavyo na kadri ya kipato chako, usiige maisha.

Mbarikiwe sana👏🏿👏🏿👏🏿
 
KATIKA MAISHA ILI UWE NA FURAHA LAZIMA UTAMBUE:

*Katika kupoteza, Kuna kujifunza. Chukulia kwako ni funzo Songa mbelee...

*Katika kushindwa, Kuna fursa. Ukishindwa hapa, ni fursa ya kuanzisha safari nyingne, we Songa mbelee...

*Na hakuna tatizo lisilo na majibu. Tafuta chanzo, na jua udhaifu na uimala wako katika kulikabili tatizo. Saka ushauri na hata msaada kama unahitajika, we Songa mbelee.

KUIWEKA FURAHA YAKO IDUMU USITAKE:
*Kumfanya Kila mtu akupende. Huwezi pendwa na wote hata Mungu Kuna wanao mchukia, We Songa mbelee..

*Achana na mtu au mpenzi anaye kusaliti, Kwani Kuna mtu anatamani sana nafasi hiyo iache wazi wengine waje...

*Usipende kujikomba Kwa watu, tambua hawatokupa furaha kamwe

*Usijaribu kuwa mkamilifu Kwa Kila mtu. Hata ufanye vzr vipi Kuna watu hawatokuelewa tuuu..

*Tambua wewe ni wa thamani sana. Kipende, heshimu hisia zako, tambua Kuna watu uwepo wako tuu unawatosha kuwapa amani ya moyo.

*Usifananishe maisha Yako na ya wengine. Jaribu kuwa wewe, ishi maisha Yako utakavyo na kadri ya kipato chako, usiige maisha.

Mbarikiwe sana👏🏿👏🏿👏🏿
Looks good
 
KATIKA MAISHA ILI UWE NA FURAHA LAZIMA UTAMBUE:

*Katika kupoteza, Kuna kujifunza. Chukulia kwako ni funzo Songa mbelee...

*Katika kushindwa, Kuna fursa. Ukishindwa hapa, ni fursa ya kuanzisha safari nyingne, we Songa mbelee...

*Na hakuna tatizo lisilo na majibu. Tafuta chanzo, na jua udhaifu na uimala wako katika kulikabili tatizo. Saka ushauri na hata msaada kama unahitajika, we Songa mbelee.

KUIWEKA FURAHA YAKO IDUMU USITAKE:
*Kumfanya Kila mtu akupende. Huwezi pendwa na wote hata Mungu Kuna wanao mchukia, We Songa mbelee..

*Achana na mtu au mpenzi anaye kusaliti, Kwani Kuna mtu anatamani sana nafasi hiyo iache wazi wengine waje...

*Usipende kujikomba Kwa watu, tambua hawatokupa furaha kamwe

*Usijaribu kuwa mkamilifu Kwa Kila mtu. Hata ufanye vzr vipi Kuna watu hawatokuelewa tuuu..

*Tambua wewe ni wa thamani sana. Kipende, heshimu hisia zako, tambua Kuna watu uwepo wako tuu unawatosha kuwapa amani ya moyo.

*Usifananishe maisha Yako na ya wengine. Jaribu kuwa wewe, ishi maisha Yako utakavyo na kadri ya kipato chako, usiige maisha.

Mbarikiwe sana[emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Tatizo kwa wengi wetu lipo kwenye hiyo point ya mwisho.
 
Acha tuishi kiafrika japo tayari mmeletewa maisha ya kizungu na kiarabu ambayo ndiyo haya yanayofanya muishi maisha mengine yasiyo yenu.
 
Ni ngumu kurudi zama za nyuma lazima kujifunza kukabiliana na hali na kasi ya mabadiliko ya kijamii.....😁
 
KATIKA MAISHA ILI UWE NA FURAHA LAZIMA UTAMBUE:

*Katika kupoteza, Kuna kujifunza. Chukulia kwako ni funzo Songa mbelee...

*Katika kushindwa, Kuna fursa. Ukishindwa hapa, ni fursa ya kuanzisha safari nyingne, we Songa mbelee...

*Na hakuna tatizo lisilo na majibu. Tafuta chanzo, na jua udhaifu na uimala wako katika kulikabili tatizo. Saka ushauri na hata msaada kama unahitajika, we Songa mbelee.

KUIWEKA FURAHA YAKO IDUMU USITAKE:

*Kumfanya Kila mtu akupende. Huwezi pendwa na wote hata Mungu Kuna wanao mchukia, We Songa mbelee..

*Achana na mtu au mpenzi anaye kusaliti, Kwani Kuna mtu anatamani sana nafasi hiyo iache wazi wengine waje...

*Usipende kujikomba Kwa watu, tambua hawatokupa furaha kamwe

*Usijaribu kuwa mkamilifu Kwa Kila mtu. Hata ufanye vzr vipi Kuna watu hawatokuelewa tuuu..

*Tambua wewe ni wa thamani sana. Kipende, heshimu hisia zako, tambua Kuna watu uwepo wako tuu unawatosha kuwapa amani ya moyo.

*Usifananishe maisha Yako na ya wengine. Jaribu kuwa wewe, ishi maisha Yako utakavyo na kadri ya kipato chako, usiige maisha.

Mbarikiwe sana👏🏿👏🏿👏🏿
Kweli kabisa 🔥
 
Mazoezi hasa baada shughuli za kutafuta mkate wa siku,ni kitu kinachonipa furaha sana...
 
Back
Top Bottom