Jinsi ya kumvuta Mwanamke bila hata kutumia shilingi

yani niharibu ndoa yangu kwa starehe za kupita ambazo kama nikikaa na mume wangu chini nitazipata na kwa uhuru kwa kujiachia kabisa, siwezi kufanya huo upuuzi

mwanaume aliejua thamani yangu akaniweka ndani kati ya wanawake mia alikutana nao leo hii kwa kosa dogo tu nitafte pa kuhemea nje sikufunzwa hivo

matatizo ya ndoa yenu kaeni myaamalize wenyewe kuanza kutafta mabega ya kuhurumiwa ndio kutafta mlango wa kuingilia wa mambo ya ajabu ajabu, always a shoulder to cry on issa dick to ride on,

vitu kama hivi ndio vinafanya ndoa zionekane hazina maana na hii ni mwanamke mjinga ndio atabeba akajaribu huko.
 
Dunia haiko fair kweli,huwezi amini hizo mbinu mbaharia ndo wanatumia kumtafuna mke/dada wa jamaa!
 
Kwa zama hizi watu wengi wameshawaona wanawake kama maadui namba moja wqmekuwa hawana mapenzi tena better be senior bachela
 
Kwa nini uhangaike na wake za watu? Kwa nini hasa? Haya mawazo ya kimteremko yakikukaa kichwani ,maendeleo utayasikia kwa redio tuu,utaishia kusema umetupiwa mikosi
 
Kwa nini uhangaike na wake za watu? Kwa nini hasa? Haya mawazo ya kimteremko yakikukaa kichwani ,maendeleo utayasikia kwa redio tuu,utaishia kusema umetupiwa mikosi
Si life tu[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…