Jinsi ya kumwambia mpenzi anayetoa harufu mbaya ukeni

Ukweli ni kwamba kuna wanawake wana nyuchi kubwa na zenye mashavu manene mpaka yanatepeta, ukute hajakeketwa shida ndio hiyo kunuka nuka uchafu ukeni. mkiambiwa ukeketaji ni usafi muwe mnaelewa
Binti zako umewakeketa mkuu??
 

Eti FERI 😂
 
Sasa unamwambia ili iweje? We jikute kimbelembele. Kwani kapita kwa wangapi na hawajamwambia? Sema huwa ni jau, mchane tu akasugue hiyo mbususu
 
Kaa naye chini umweleze ukweli mchungu wa tatizo lake, baada ya hapo umweleze kuwa hili tatito unaweza kulitatua kwa kufanya hivi au vile. Acha kumuogopa au kumuonea aibu au kuona kama utamuumiza ukimwambia ukweli.
Kwani yeye haisikii hadi aambiwe? Nikiwaambia mwanaume ni bora zaidi ya mwanamke mnanipiga mawe
 
Mjengee mazoea ya kuoga pale mnapofika rum hata kama amjaanza chochote aoge au muogeshane mkimalza show anyanyuke akajioshe na kuoga pia then kwa jukum lako kama mwanaume mtafutie vi chup vya cotton na sio izo za 1500 somo likimwingia mwambie atumie na dawa za fungus na ma uti ila usmwambie unanuka utamnyima comfdes sku zote za mahusiano yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…