Jinsi ya kunununa mgodi Tanzania

Warriour

Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
5
Reaction score
1
habarini wadau wa maendeleo nahitaji kujua jinc ya kununua mgod wa gold or spino hapa Tanzania; nimejaribu kufwatilia mtandaoni lakini hakuna details za moja kwa moja naomba mnipe uzoefu wenu wadau.
asanteni sana:glasses-nerdy:
 

Jaribu kufika site,huko utapewa utaratibu wote
 
 
habarini wadau wa maendeleo nahitaji kujua jinc ya kununua mgod wa gold or spino hapa Tanzania; nimejaribu kufwatilia mtandaoni lakini hakuna details za moja kwa moja naomba mnipe uzoefu wenu wadau.
asanteni sana:glasses-nerdy:

Unataka site ambayo ishafanyiwa Survey na kuonyesha Kiasi cha Dhahabu kilichopo, au Unahitaji Mgodi ambao hajafanyiwa Survey lakini wapo wapo wachimbaji wadogo wanachimba, Au unahitaji Mgodi ambao umbo kuna mwekezaji ana operate lakini yupo tayari kuuza, Niambie unachohitaji nikusaidie.

kama vip NiPM
 
yes ndiyomkuu sana nataka kua mwekezaji, au kwa ufahamu wako kipikitakua bora zaidi ktk njia hizo 3 ulizo niulizia. thanks
 
 
jaribu kufanya hivi mkuu, zijue gps coordinates za eneo(mgodi) husika , nunua geological map za gst (geology survey of tanzania) , nahisi zingine zipo free, then jaribu kumtafuta geologist akufanyie evaluation ya kawaida kutokana na hizo ramani, au kama una uhakika eneo lako lina mali ya kutosha nenda moja kwa moja wizara ya nishati na madini kakate prospecting license (PL) nahisi ni kama laki 8 kwa mwaka,
kwa ufafanuzi za unaweza kuniPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…