Bila shaka unazungumzia bia za Tanzania .First off, mwaga chini kiduchu kuhakiki kama ipo vizuri yaani haijaeksipaya.
Utaona povu.
Piga lesi ndefu ukiwa umebana pumzi, rudisha chupa mezani.
Sikilizia Dk 1 then rudia tena hadi ikate. Anza nyingine.
Ushauri wa bure:
Usibusu busu bia. Matumizi ya glasi ni kupoteza muda na kujieksipozi na majanga.
Mawaidha yanatosha, muda wa vitendo now!
Cheers!
Hiyo kumwaga chini sio kuitest kama haijaexpaya, tunaita kumuonjesha marehemu bibi mzaa babu mlevi.First off, mwaga chini kiduchu kuhakiki kama ipo vizuri yaani haijaeksipaya.
KisudeMwaga kidogo tu mkuu[emoji1787]