Jinsi ya kuoata vibari vya kusafirisha dagaa nje ya nchi

Jinsi ya kuoata vibari vya kusafirisha dagaa nje ya nchi

Jack HD

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
851
Reaction score
1,168
Habari wanajamvi,

Naomba maelezo jinsi ya kuanza mchakato wa kupata vibari vya kusafirisha dagaa kwenda nje ya nchi. Ieleweke wazi kuwa Mimi ni mfanyabiashara mdogo sana hivyo ni vyema kuniongoza kwenye solution yenye kutumia gharama nafuu zaidi. Nilisikia lazima use na store ambayo imesajiliwa na uwe na leseni ambapo mzigo utaupeleka TFDA kukaguliwa ndipo wakupe export permit. Ningependa kupata maelezo ya kina kwa mwenye experience. Nashkuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom