Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Niandikaje mkuu?Ingia google!
Sitazama mkuu?We ukifika jitupe tu kwenye maji kila kitu kitaenda sawa
Nimeamin wanaume hatupendani!!!!Huzami wevjiachie tu
Ahsante mkuu, shida ni kwamba niko upende wa pili wa muunganoMpe kalenda mwambie leo kuna ishu imetokea, halaf we leo timba kigamboni mpaka jioni ushakuwa fundi, nakupa lecture free of chajiiii, halaf kesho nawe unakamata popoma wako unajitia ujuvi..
Dah.. hapo ndio shida ilipo, ila sio suala we leo mpige kalenda tafuta mtu akufue mpaka uwe mass nondo, kesho chukua mwali kachukue ujiko..Ahsante mkuu, shida ni kwamba niko upende wa pili wa muungano
Chief mnaenda beach ipi?Naweza kuja kuwatrain wewe na manzi wako..
Kwel mkuu... Nahic Niki force naweza ibua janga.Dah.. hapo ndio shida ilipo, ila sio suala we leo mpige kalenda tafuta mtu akufue mpaka uwe mass nondo, kesho chukua mwali kachukue ujiko..
Janga lenyewe ni kubwa.. mpaka uje kupata msamaha wa anko magu sio leo, mwenzio kaupata baada ya miaka 44 na huyo anko magu atakuwa anakusubiri wewe tuu[emoji23] [emoji23]Kwel mkuu... Nahic Niki force naweza ibua janga.