V Vee94 Member Joined Jan 26, 2019 Posts 20 Reaction score 16 Nov 30, 2019 #1 Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie. Asanteni sana.
Wapendwa naomba mnisaidie namna ya kuondoa alama za mafuta kwenye mkoba aina ya leather, nimejaribu kufua kwa maji ya moto na sabuni bado alama ipo. Mwenye ufahamu zaidi naomba anisaidie. Asanteni sana.
Morning_star JF-Expert Member Joined Apr 21, 2018 Posts 6,042 Reaction score 17,320 Nov 30, 2019 #2 Nunua begi jingine kwani lazima liwe hilo? Hata hivyo huo uwazi wa zipu umekaa kimitego!! Ebu uangalie vizuri!
Nunua begi jingine kwani lazima liwe hilo? Hata hivyo huo uwazi wa zipu umekaa kimitego!! Ebu uangalie vizuri!
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Dec 6, 2019 #3 Geuza iwe fursa/fasheni, kama alivyofanya "kidot".
V Vee94 Member Joined Jan 26, 2019 Posts 20 Reaction score 16 Dec 6, 2019 Thread starter #4 KakaJambazi, E] Asante imebidi nifanye hivyo