Sefu jafary
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 382
- 258
Umejipanga kupinga ndo Shidah yako, so hata kama njia ni rahisi utaiona ngum sababu haupo tayari kufanya praki.Hizo sio njia rahisi hizo ndio njia ngumu ambazo watu wameshindwa kuzitekeleza na ni njia ambazo ziko tangia kale. Tupatie njia rahisi
hii dawa hatari sana aisee daah sjaamini kabisaHahaha hapo si tayar ushapunguza kula lazima ukate tu
hahahaha hii lishe ni nzuri ukiwa mtu wa mazoezi kdgo lakin kama ww ni mtu wa officn na kurud nyumban ni shidaaakuleni kuku mayai mboga samaki maziwa na kuweka mwili safi hiyo ndiyo afyaaaa njeeemaaaa........ wahenga mpooooo
kama unakitambi au tumbo kwa mwanaume na huna mda wa mazoezi basi tiba imepatikana nmeijaribu kwa mwezi mmja na nmeona matokeo chanya
Asubuhi ukiamka kunywa vifuniko viwili vya konyagi
mchana kunywa vifuniko vinne vya konyagi
jioni kunywa vinne vya konyagi
pia usinywe maji ya barid hata siku moja kunywa maji ya uvuguvugu au ya kawaida
wakati huo ukipunguza kula vyakula vya mafuta
imefanya kazi kwa wanaume kwa wanawake sijui.
utakuja kunishukuru siku moja[/QUOTE
....
''Kuleni chakula bora cha kuujenga mwili na kujenga nyumba safi pakulala pawe bora''kuleni kuku mayai mboga samaki maziwa na kuweka mwili safi hiyo ndiyo afyaaaa njeeemaaaa........ wahenga mpooooo
Muhengaaaaaa''Kuleni chakula bora cha kuujenga mwili na kujenga nyumba safi pakulala pawe bora''
"Eti dereva kagonga mutu, aah sawa hiyo. Aaaata, hiyo si sawa dereva acha vituko"''Kuleni chakula bora cha kuujenga mwili na kujenga nyumba safi pakulala pawe bora''
hahaahah.kwahyo utafiti umefanywa kwa sababu ya vyuma kukazaVyuma vingekua havija kaza, bilashaka usinge pata muda wa kufanya huu utafiti....[emoji2] [emoji2]
[emoji12] [emoji12] [emoji12]hahaahah.kwahyo utafiti umefanywa kwa sababu ya vyuma kukaza