Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Hizo sio njia rahisi hizo ndio njia ngumu ambazo watu wameshindwa kuzitekeleza na ni njia ambazo ziko tangia kale. Tupatie njia rahisi
Umejipanga kupinga ndo Shidah yako, so hata kama njia ni rahisi utaiona ngum sababu haupo tayari kufanya praki.
 
Wanaume wenye vitambi wanasifa zifuatazo:-
1.99% vibamia hata ree
2.Hawawezi rudia kwichikwichi (bao moja chalii)
3.
 
Kama una kitambi au tumbo kwa mwanaume na huna muda wa mazoezi basi tiba imepatikana nimeijaribu kwa mwezi mmoja na nimeona matokeo chanya

Asubuhi ukiamka kunywa vifuniko viwili vya konyagi

Mchana kunywa vifuniko vinne vya konyagi

Jioni kunywa vinne vya konyagi

Pia usinywe maji ya barid hata siku moja kunywa maji ya uvuguvugu au ya kawaida

Wakati huo ukipunguza kula vyakula vya mafuta

Imefanya kazi kwa wanaume kwa wanawake sijui.

Utakuja kunishukuru siku moja
 
Hahaha hapo si tayar ushapunguza kula lazima ukate tu
 
kuleni kuku mayai mboga samaki maziwa na kuweka mwili safi hiyo ndiyo afyaaaa njeeemaaaa........ wahenga mpooooo
hahahaha hii lishe ni nzuri ukiwa mtu wa mazoezi kdgo lakin kama ww ni mtu wa officn na kurud nyumban ni shidaaa
 
low
 
ukiweza hii utapungua sana shida ni misosi ya home labda kwa bachelors mara kuna pilau mara wali ndondo mara samaki sijui na ugali usipokuwa na msimamo unabwaga manyanga
asbh
mayai 2(kaanga) matunda na maji meengii kikombe cha kahawa bila sukari
mchana
nyama aina zootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
usiku
nyama aina zoootee/samaki/kuku na maji mengi na kachumbari
hakikisha huli wanga wowote yaani ugali mikate mandazi chapati keki soda bia kunywa gin kidogo tu kaglasi wikiendi siyo libapa
nyama usikomeleshee walau isizidi nusu kilo au nusu kuku samaki mmoja au wawili kula mafuta yeyote kwenye nyama kunywa michuzi yaani we kula mafuta unaweza weka humo na mboga za majani za kupikwa kwa mafuta yani usipunje mafuta
snacks
karanga mkono mmoja kwa siku
karoti moja mbichi
usile korosho
kunywa maji mengi uwezavyo ukiweza lile azam likubwa liishe
mazoezii fanya kiasi tuu yani yachangie asilimia 20 ya upunguaji wa mwili wako huku asilimia 80 ikitokana na vyakula unavyokula hata ushinde gym jua mwili wako haupungui sababu ya chakula unachokula
mpango huu unawafaa sana wale wenye group type O kwa wengine daahh ni kula mboga mboga zaidi huku nyama ukinyapia nyapia.tafuteni foods for blood type google
 
Tangu voroba vilipo pigwa marufuku, naona chupa kubwa zinazidi kuhalalishwa kila kukicha....
 
Vyuma vingekua havija kaza, bilashaka usinge pata muda wa kufanya huu utafiti....[emoji2] [emoji2]
 
kuleni kuku mayai mboga samaki maziwa na kuweka mwili safi hiyo ndiyo afyaaaa njeeemaaaa........ wahenga mpooooo
''Kuleni chakula bora cha kuujenga mwili na kujenga nyumba safi pakulala pawe bora''
 
''Kuleni chakula bora cha kuujenga mwili na kujenga nyumba safi pakulala pawe bora''
"Eti dereva kagonga mutu, aah sawa hiyo. Aaaata, hiyo si sawa dereva acha vituko"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…