Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,851
Cardio ndio yepiKama unataka kutoa kitambi nakuhakikishia hilo zoezi halitakupa matokeo yoyote. Hakuna zoezi linaloburn mafuta ya sehemu moja specific kwenye mwili wako
Fanya mazoezi ya cardio haya yanapunguza mafuta mwili mzima na tumboni pia.
Zoezi hilo ya kitairi (roller) linatone tumbo ambalo tayari halina mafuta.
Fanya research. Have a good day
Sent using Jamii Forums mobile app
ngoja nianze kaka,ila kilomita kumi per day dahmkuu zoezi zuri la kupunguza kitambi ni kukimbia walau kilomita 10 kila siku,zingatia mlo kamili hasa matunda na mboga mboga kwa wing na pia kuepuka kabisa vyakula vya mafuta.Zaidi ya hapo epuka vyakula vya barid na kila baada ya mlo wako kunywa glass ya maji ya vuguvugu yenye ndimu nzima ndani yake.Baada ya hapo njoo unishukuru
roller haipunguzi wala kuondoa kitambi....
roller inakuwa effective ikitumiwa na mtu asiye na kitambi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli nimegundua,inakaza misuli ya tumboSahihi... Roller inakaza tumbo na sio kupunguza tumbo.. So ukipiga roller huku unakitambi zaid tu itakusaidia kupunguza rate ya kula koz tumbo linakuw linajibana.. Homework zipo nyingi... Ruka kamba at least hata 1000 per day.. En iwe mfululizo yani ukianz moja usisimame hadi ufike 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia you tube andika "plunk" utaona mazoezi mepesi tu ya tumbo pia punguza au acha kabisa kula vyakula vya wanga.Mimi niwe tu mkweli, nina kitambi fulani nataka kukimaliza sasa changamoto ni kuwa lile zoezi la kusukuma kitairi na kukivuta aisee nalichukia sana.
Sasa kila gym au trainer ninayempata lazima atafika hatua tu anakuja na kale katairi...mimi ikifika tu hiyo hatua hapana.
Nakachukia sana kale karingi yaani nikifika gym nikakakuta naweza geuka zangu narudi home.
Hivi hakuna namna naweza kata tumbo bila kutumia kale katairi mateso?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niwe tu mkweli, nina kitambi fulani nataka kukimaliza sasa changamoto ni kuwa lile zoezi la kusukuma kitairi na kukivuta aisee nalichukia sana.
Sasa kila gym au trainer ninayempata lazima atafika hatua tu anakuja na kale katairi...mimi ikifika tu hiyo hatua hapana.
Nakachukia sana kale karingi yaani nikifika gym nikakakuta naweza geuka zangu narudi home.
Hivi hakuna namna naweza kata tumbo bila kutumia kale katairi mateso?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeacha kula wanga toka February 1 naona mabadiliko makubwa japo napunguza fat mwili mzima sio tumbo tu napunguza na mwili.
Inafanya kazi Sana, nimepungua
Nitanunua na hicho kiroller niwe fit always.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeacha soda,spirit natumia kidooogo sana,hata mara moja kwa mweziMkuu unatumia Soda ama vinywaji vikali?
Kumi si mchezo, muda wenyewe upo wapi? Mimi napiga 3km tu asubuhi na mafanikio nayaona!
Go to hell[emoji269] *MADHARA YA KITAMBI* [emoji269]
[emoji298]ini kuhifadhi sumu na kushindwa kuzalisha nyongo
[emoji298]kisukari ambayo hufanya mwili kukosa nguvu za kukabiliana na magonjwa yanayoushambulia mwili ikiwa ni pamoja na
[emoji298]nguvu za kiume, ukiwa na tatzo hili unaweza kushindwa kumuingilia mkeo au kwenda safari moja tu
[emoji298]mwanamke kupata tabu ya kupata ujauzito kwa sababu wanazalisha homini ya androgen ambayo huzuia kupata siku zake pia hufanya mzunguko wa m,mke kusumbua
[emoji298]magonjwa ya mzunguko wa damu ikihusisha moyo pamoja na mishipa yake ambayo hupelekea kupata PRESHA NA KIHARUSI
[emoji298][emoji1542][emoji1542][emoji298]cjui kwann mwanaume akipungua kitambi dhakari yake huongezeka nchi moja au zaidi
DAWA YA KUPUNGUZA MWILI NA KITAMBI
[emoji269][emoji268][emoji269][emoji268][emoji269][emoji268][emoji269]
TAFUTA UNGA WA MJAIDURU KIJIKO KIMOJA CHA CHAI VURUGA KWENYE MAJI YA UVUGU VUGU NA SI YAMOTO KIKOMBE KIMOJA
[emoji266][emoji266]KUNYWA KAMA HIVYO KUTWA MARA TATU KWA MUDA WA SIKU 21 [emoji268][emoji268]
KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI
what's app /call
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
Sent using Jamii Forums mobile app