Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Sikushauri pia..maana wewe unaonekana sio risk taker
What kind of a risk is that...yaani hate nyumbani watashangaa nimevimba shavu natafuna mirungi eti nipungue..KHAAAAA

Hivyo vitu vinafanywa na Watu wasio jielewa
 
Steroid ni kama hormone..zinachochea kitu kinachoitwa Anabolism(build up),Protein ndo inayotumika kwenye build up i.e muscles..

Point zako hazipo sawa mkuu,Carbs ndo kisababishi kikubwa cha unene
 
True..
 

Tango pori - Nimesoma mahali, mwili hauwezi kutengeneza fats wenyewe na ndio maana tunahitaji kuweka mafuta kwenye chakula.
 
Tatizo la wengi ni kwenye persistence ya mazoezi na diet. Mtu anaanza vizuri kabisa program ya mazoezi na diet ila akiona amefanya mwezi mmoja na hajaona mabadiriko basi anaacha na kurudia zama zake. Ndio maana kila siku aehemu za mazoezi utaona sura mpya tu kila siku na ni vibonge kwelikweli, hii ni ishara kuwa watu wanakata tamaa ndani ya muda mchache sana.
 
Nafikiri stored fat ndiyo lipids? Which itatumiwa pale mtu ndiyo hauna fat kabisa
 
Steroid ni kama hormone..zinachochea kitu kinachoitwa Anabolism(build up),Protein ndo inayotumika kwenye build up i.e muscles..

Point zako hazipo sawa mkuu,Carbs ndo kisababishi kikubwa cha unene
Katika bodybuilding kuna anabolic steroids (dianabol n.k) kisha kuna HGH (Human Growth Hormone)

Steroids zinachochea repairment ya seli nyekundu za damu kuongeza circulation ya damu which in turn inamfanya mtu akiwa anafanya mazoezi asiwe fatiqued.

Mimi hamna sehemu nimesema kuna chochote kinasababisha unene so unatakiwa kuwaquote wanaosema ubwabwa na ugali unasababisha unene ili wakuelewe.
 
Kata wanga (pata portion kidogo sana ya wanga...hahasa wekeza ktk matunda na mbogamboga), kata sukari na mafuta then tembea kila siku at least kwa nusu saa. Kunywa maji mengi ikiwezekana changanya na Apple Cider Vinegar.
 
Boss umesema mwaka jana ulikua na kilo 115 umezipunguza mpaka 65 means umekua around healthy life haizidi mwaka. Mimi nimekua humo since 2013 training na watu mbalimbali juu ya vyakula, supplements na nikidebunk beliefs mbalimbali. Hata mimi nilikua najua diet ni miongoni mwa msingi mkuu.

Madaktari hua wana kitu wanaita BMI utachekiwa urefu wako na kuambiwa kwa kilo ulizonazo ni sahihi na urefu wako ama hapana. 2015 nilikua na urefu wa 163CM na uzito wa kilo 87 so hiyo BMI inaniweka kwenye kundi la unhealthy, ila hizo kilo zote zilikua ni muscles siyo fat so BMI was wrong ni sawa leo Kai Greene aonekane unhealthy kisa urefu wake na uzito BMI inaukataa.

Hata ule chakula cha wanga kiasi gani what matters ni utafanyaje mazoezi ili kudeal na unachoingiza mwilini.

Mimi siwezi kua na jambo lolote juu ya kusema ninachojua. Kwamba nafanya hivi ili muendelee kubaki wanene?
 
Mbona Avatar yako inaonyesha wewe ni wa kawaida,tena kipotabo?
 
Kuhusu mirungi inafanyaje kazi mpaka inapunguza uzito?
Je inatumika kwa muda gani

Cc Darmian
 
cardio exercises plus punguza kula more carbs kula zaid protein, fats esp frm mimea, matunda na vegetables usisahau plenty if water, withn a month tu utaona changesn..hamna uchawi wala dawa sijui utameza tumbo liishe..zingatia ushauri huu

Pia aache processed sugar
 
Angalia vizuri, nilikuwa na 85 na kwa sasa nina 65 na urefu ni 169cm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…