Jinsi ya kuondoa mvi zilizoanza kuota mapema (ujanani)!

Jinsi ya kuondoa mvi zilizoanza kuota mapema (ujanani)!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Hapo zamani za kale, wengi waliamini kuwa mvi ni dalili ya kuwa na hekima na pia mvi ni kiashiria cha uzee!
Wale waliopata mvi mapema ujanani wengine waliambiwa kuwa hizo ni 'mvi za ukoo'! Kitu ambacho sio cha kweli.

Tatizo la kuota mvi mapema, limehusianishwa kwa kiasi kikubwa na upungufu wa vitamin B.

Wanasayansi waliona kuwa acute shortaje (upungufu mkubwa) wa vitamini B kwenye mwili wa binadam kama chanzo cha kuota mapema kwa mvi.

Mimi mwenyewe nina chini ya umri wa miaka 34. Ila miezi michache iliyopita nilishangaa naanza kuzeeka. Nilikuwa nimekwisha ota mvi mbili. Kwa kweli sikuweza kuamini nimeanza kuzeeka at such a young age.

Katika kustudy chanzo cha mvi hizo nikafuatilia apporach ya wanasayansi na nikaanza kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B.

Since then, baada ya kunyoa zile mvi hazijarudi tena mpaka leo.

Kama na wewe umeanza kuota mvi mapema, ina wekezana kabisa ukawa na upugngufu wa Vitamin B hivyo kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B vinaweza vikapunguza kasi ya uotaji mvi au hata kuondoa mvi zilizokwisha anza kuota mapema.

Share taarifa hii na kijana yeyote aliyekwisha anza kuota mvi mapema ili zimsaidie.
 
Kwani mvi zinatakiwa zianze katika umri gani?
 
Mkuu ukipata na dawa ya kufanya ziwe nyingi nijulishe pia. Mi nazipenda.
Kama unataka ziwe nying, mwone huyu...
Amber-Lulu-30-372x420.jpg
 
We muhenga tu kwanini uzizuie???

Mimi napenda mvi. Yani zikianza naachia na udevu niwe kama Father Christnmass/Hashim Rungwe
 
Hapo zamani za kale, wengi waliamini kuwa mvi ni dalili ya kuwa na hekima na pia mvi ni kiashiria cha uzee!
Wale waliopata mvi mapema ujanani wengine waliambiwa kuwa hizo ni 'mvi za ukoo'! Kitu ambacho sio cha kweli.

Tatizo la kuota mvi mapema, limehusianishwa kwa kiasi kikubwa na upungufu wa vitamin B.
Wanasayansi waliona kuwa acute shortaje (upungufu mkubwa) wa vitamini B kwenye mwili wa binadam kama chanzo cha kuota mapema kwa mvi.
Mimi mwenyewe nina chini ya umri wa miaka 34. Ila miezi michache iliyopita nilishangaa naanza kuzeeka. Nilikuwa nimekwisha ota mvi mbili. Kwa kweli sikuweza kuamini nimeanza kuzeeka at such a young age.
Katika kustudy chanzo cha mvi hizo nikafuatilia apporach ya wanasayansi na nikaanza kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B.
Since then, baada ya kunyoa zile mvi hazijarudi tena mpaka leo.
Kama na wewe umeanza kuota mvi mapema, ina wekezana kabisa ukawa na upugngufu wa Vitamin B hivyo kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B vinaweza vikapunguza kasi ya uotaji mvi au hata kuondoa mvi zilizokwisha anza kuota mapema.

Share taarifa hii na kijana yeyote aliyekwisha anza kuota mvi mapema ili zimsaidie.
Nahisi na yule Mzee wa ufipa hiyo vitamin B hana kabisa.
 
Hapo zamani za kale, wengi waliamini kuwa mvi ni dalili ya kuwa na hekima na pia mvi ni kiashiria cha uzee!
Wale waliopata mvi mapema ujanani wengine waliambiwa kuwa hizo ni 'mvi za ukoo'! Kitu ambacho sio cha kweli.

Tatizo la kuota mvi mapema, limehusianishwa kwa kiasi kikubwa na upungufu wa vitamin B.
Wanasayansi waliona kuwa acute shortaje (upungufu mkubwa) wa vitamini B kwenye mwili wa binadam kama chanzo cha kuota mapema kwa mvi.
Mimi mwenyewe nina chini ya umri wa miaka 34. Ila miezi michache iliyopita nilishangaa naanza kuzeeka. Nilikuwa nimekwisha ota mvi mbili. Kwa kweli sikuweza kuamini nimeanza kuzeeka at such a young age.
Katika kustudy chanzo cha mvi hizo nikafuatilia apporach ya wanasayansi na nikaanza kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B.
Since then, baada ya kunyoa zile mvi hazijarudi tena mpaka leo.
Kama na wewe umeanza kuota mvi mapema, ina wekezana kabisa ukawa na upugngufu wa Vitamin B hivyo kutumia vidonge vya kuongeza vitamin B vinaweza vikapunguza kasi ya uotaji mvi au hata kuondoa mvi zilizokwisha anza kuota mapema.

Share taarifa hii na kijana yeyote aliyekwisha anza kuota mvi mapema ili zimsaidie.
Umenifanya niingie google...you are right
Screenshot_2017-12-10-18-27-21.png
 
Back
Top Bottom