Jinsi ya kuongeza jina la biashara kwenye TIN number

Jinsi ya kuongeza jina la biashara kwenye TIN number

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari wakuu,
Nimeenda Voda shop kusajili LIPA number yenye jina la biashara nikiwa na leseni yenye jina la biashara na TIN yangu ya biashara.

Nikaelezwa ili nisajili LIPA namba ya namna hiyo inatakiwa nipate TIN number yenye jina la Biashara.

Je kuna mwenye uzoefu aliyewahi kuongezea jina la biashara kwenye TIN yake?
 
Habari wakuu,
Nimeenda Voda shop kusajili LIPA number yenye jina la biashara nikiwa na leseni yenye jina la biashara na TIN yangu ya biashara.

Nikaelezwa ili nisajili LIPA namba ya namna hiyo inatakiwa nipate TIN number yenye jina la Biashara.

Je kuna mwenye uzoefu aliyewahi kuongezea jina la biashara kwenye TIN yake?
Nenda TRA iliyo karibu nawe, ukiwa na TIN number, Kitambulisho cha NIDA na Leseni yako utahudumiwa
 
nipigie au nitext Whatsapp 0629706263, nikusaidie tin hailipiwi free kabisa
Habari wakuu,
Nimeenda Voda shop kusajili LIPA number yenye jina la biashara nikiwa na leseni yenye jina la biashara na TIN yangu ya biashara.

Nikaelezwa ili nisajili LIPA namba ya namna hiyo inatakiwa nipate TIN number yenye jina la Biashara.

Je kuna mwenye uzoefu aliyewahi kuongezea jina la biashara kwenye TIN yake?
 
nipigie au nitext Whatsapp 0629706263, nikusaidie tin hailipiwi free kabisa
Hivi siyo kwamba TIN isiyolipiwa ni ile ambayo ipo kwa jina la mtu binafsi na ambayo pia siyo ya kibiashara na pale TIN hiyo unapotaka kuiweka katika business name lazima ukadiriwe mapato na ulipie kodi yake na kisha kupewa TIN yenye business name na tax clearance certificate? Tafadhali ufafanuzi hapo.
 
Nenda TRA iliyo karibu nawe, ukiwa na TIN number, Kitambulisho cha NIDA na Leseni yako utahudumiwa
Kwani siyo kwamba kiutaratibu kupata leseni inatakiwa kwanza uwe umepata TIN iliyo katikà business name, kukadiliwa mapato na kulipia kodi yake na kupewa tax clearance certificate?
 
Hii yangu ni business TIN
Kwani siyo kwamba kiutaratibu kupata leseni inatakiwa kwanza uwe umepata TIN iliyo katikà business name, kukadiliwa mapato na kulipia kodi yake na kupewa tax clearance certificate?
 
Hivi siyo kwamba TIN isiyolipiwa ni ile ambayo ipo kwa jina la mtu binafsi na ambayo pia siyo ya kibiashara na pale TIN hiyo unapotaka kuiweka katika business name lazima ukadiriwe mapato na ulipie kodi yake na kisha kupewa TIN yenye business name na tax clearance certificate? Tafadhali ufafanuzi hapo.
nimemaanisha hakuna charges ya kazi mkuu, lkn ndiyo tin ikishakuwa ya biashara unapaswa kukadiriwa mapato, kulipia Kodi zote income na wht ya rent ili upate tax clearance
 
Back
Top Bottom