unaweza kudownload kutoka net mbalimbali ila mara nyingi zinauzwa so u need a mastercard to buy.
halafu haziwezi tosheleza idea yako coz aliyebuni hakuwa na idea kama wewe.hivyo business idea lazima uiandike mwenyewe halafu peleka kwa wataalamu(business consultant) wakuandikie kitaalamu zaidi.
I have 20 ideas and am not interested with anyone's results
Shida yangu nashindwa kuziweka vizuri/proper way of documenting
Idea itabaki kuwa idea kama haitaendelezwa (ni kama mtu anaeota)
unapaswa kutoka hapo kwenye wazo kwenda kwenye wazo linalotekelezeka, utafikiaje hapo.
Moja wewe mwenyewe kaa chini andika wazo lako kwa kutumia logic ya kawaida kama ifuatavyo
what - unataka kufanya nini?? elezea wazo lako
where - unataka kulifanyia hilo wazo lako wapi? geographical location
For whom - Hilo wazo lako litazalisha huduma/ama bidhaa, je utamuuzia nani
Who - Nani atalitekeleza wazo lako (wewe mwenyewe, mtu mwingine n.k)
what are the costs - gharama uwekezaji (investment costs) na utazipataje
ukiweza kupata majibu ya hayo hapo sasa unatakiwa kudevelop detail analysis ambayo ndio business plan.
kama hujui narudia kama hujui kuandaa business plan usione shida kuwasiliana na wataalamu. kama unagopa
kuibiwa wazo lako kuna legal form za kubadilisha siri ambayo utaingia na consultant wako vinginevyo utakufa na mawazo yako 20 ambayo yatakua mawazo tu.
asante na pole kama nitakua nimetumia lugha ambayo hukuipenda.
Nimeziona and some are free,sema bado naona kama sizielewi
Nikipata empty template ya mtu anayefanyia kazi ideas zake itanifaa sana
Shule nilizosoma kudesa ilikuwa lazima
La sivyo shule humalizi
Km alivyoandika sangas hapo juu, si rahisi kupata template ambayo itaendana na matakwa yako yote. Kwakuwa kazi yenyewe ni yako binafsi, nakushauri utafute njia ya ku-organize idea yako ambayo itakuwa kwako rahisi kuielewa. Njia ya kuandika kwa mtiririko, km wanafunzi wanavyoandika ktk daftari, si nzuri k/sbb ubongo haupangi mambo yake kwa namna hiyo. Angalia mfano mzuri wa ku-organize ktk mchoro hapa chini. Nakushauri utafute kitabu kiitwacho IDEA MAPPING ili ujifunze njia ya kupanga ideas na mambo yako mengine. Jaribu pia kutumia MS Office OneNote 2007 labda inaweza kukudhi haja yako.
Yawezekana kabisa ukawa Entrepreneur nzuri, Pia unaweza tafuta course fupi ya entrepreneurship zinaweza kukusaidia sana in future. kana vile UDEC-UDSM Advanced Certificate Of Entrepreneurship. nadhani itakusaaidia pia..