Sikuhizi naona kwenye shughuli nyingi, eg. harusi, msiba mchele hauoshwi hii imekaaje wadau?
Kweli kuna watu hawaoshi mchele wakipika ila mie naona si sawa kama haukuosha ile harufu kama vumbi itabaki kwenye wali
Sikuhizi naona kwenye shughuli nyingi, eg. harusi, msiba mchele hauoshwi hii imekaaje wadau?
Kweli kuna watu hawaoshi mchele wakipika ila mie naona si sawa kama haukuosha ile harufu kama vumbi itabaki kwenye wali