Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Huyu dada ni mgonjwa wa akili na tumewahi kuishi nae jirani......mara nyingi alikuwa akitembea uchi au gauni tupu hali iliyompelekea kubakwa na vijana wa kihuni
hapo vipi
Tabadili ID nikuchumbie maana najua kwa hii niliyo nayo sasa ombi litatupwa kapuni fastaHuwa situmiagi mambo hayo labda siku nikiolewa
HahahhahahaTabadili ID nikuchumbie maana najua kwa hii niliyo nayo sasa ombi litatupwa kapuni fasta
Kweli vile nimekosa wachumba wengi kwa sababu ya IDHahahhahaha
utakuwa mrembo! Karibu tovuti yangu!Ntajifunza
Kweli vile nimekosa wachumba wengi kwa sababu ya ID
[emoji15] [emoji15] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]Hahahaha...... Pole bro, hakuna namna nyingine tena. Badilisha ID 😀😀
Ukiona hivyo sio wakwako wakwako hatajali ID[emoji41]Kweli vile nimekosa wachumba wengi kwa sababu ya ID
Hiyo itakua ni concealer sio podaHio ya kuchora on the sides kwanza,kutumia a matching pencil/liner sijui wanaitaje kiswahili, kupaka powder,
Ntajaribu nione
wapi huko mvumbo anakopaikama huyu MAZIHuyu dada ni mgonjwa wa akili na tumewahi kuishi nae jirani......mara nyingi alikuwa akitembea uchi au gauni tupu hali iliyompelekea kubakwa na vijana wa kihuni
Nani?wapi huko mvumbo anakopaikama huyu MAZI
huyuNani?