Mkuu heshima kwako aiseee.6. Keepdownloading. Ingia google search keepdownloading. Ikija click hapo itakuja page. Copy url ya youtube video kisha ipaste kwenye kibox kilichowazi. Click hapo watakuletea format tofauti tofauti za hiyo video. Chagua inayokufaa, download. AU km unavyofanya kweny save from net ya kuandika ''ss'' basi weka vd (ni shortcut ya keepdownloading). Hii njia kwangu ni bora na huwa natumia
Mkuu nimejaribu iko poa sana yani.Ngoja nijaribu hii inaonekana nzuri sana
savefrom.net ndio njia rahisi kwangu ambaye sipendi kujaza apps nyingi kwenye device
Vidmate ndo baba laoHakuna asiependa kuhifadhi video kwenye simu yake ili aweze kuangalia badae akiwa nje ya mtandao,lakini nawezaje kuhifadhi video za YouTube kwenye kifaa changu?
NJIA 5 RAHISI ZA KUPAKUA VIDEO YOUTUBE
1.TUBEMATE:- Hii ndio njia maarufu na kongwe katika mambo ya kupakua video YouTube,njii ilianza kufanya kazi toka 2011 katika toleo la Android 2.2,wakati huo soko maarufu ukiachana na Android market ilikuwa ni GetJar.
Ukiwasha tu app ya tubemate na moja kwa moja itakuelekeza kwenye YouTube.
2.SNAPTUBE:- Hii sio YouTube bali hata kwenye mitandao mingine kama Facebook,instagram na baadhi ya mitandao mingine ambayo sio maarufu sana. Hii ilipendwa kutokana na mjumuiko wa mitandao yote.
3.VIDEODAR:- Hii haina umaarufu mkubwa sana,lakini inakuja kwa kasi kutokana na wepesi wake wa kupakua video,hii ni site nyingi kuliko zingine. YouTube, Facebook, Twitter insatgram,vimeo soundclouds na mingine mingi tu
4.UC BROWSER:- licha ya kupakua video tu, ni kivinjari kizuri sana kwa matumizi ya aina zote, hii licha ya kupakua video YouTube hata nyimbo za kusikiliza mtandaoni(online)ukiwa na uc inakupa chaguzi ya kupakua au kusikiliza huko huko.
5.SAVE.NET:- Hii nzuri kwa wasiopenda kijaza simu zao mambo mengi, yan hii sio app, ni njia rahisi sana ya kupakua video YouTube kwa kunguza ile url na kuongeza ss.
Iko hivi tumia Kivinjari chochote kwenye simu yako kwenda YouTube, tafuta video unayotaka ukishaiona hariri ile link juu(mfano ipo hivi
Wewe ipunguze iwe hivi [ssyoutube.com/watch?v=HXh1PzYEYNM] piga Go hapo utaona video yako inaanza kujipakua
Kama kuna swali karibu kuuliza.
Nimekuwekea hii video kama kuna njia iliyokushida.
Mzunguko wote huu wa nn wakati ukiwa na tubemate, videoder unaingia na kudownload fasta bila mizunguko wala usumbufu na video inaingia kwenye simu moja kwa moja6. Keepdownloading. Ingia google search keepdownloading. Ikija click hapo itakuja page. Copy url ya youtube video kisha ipaste kwenye kibox kilichowazi. Click hapo watakuletea format tofauti tofauti za hiyo video. Chagua inayokufaa, download. AU km unavyofanya kweny save from net ya kuandika ''ss'' basi weka vd (ni shortcut ya keepdownloading). Hii njia kwangu ni bora na huwa natumia
Videoder naipata wapi..?Mzunguko wote huu wa nn wakati ukiwa na tubemate, videoder unaingia na kudownload fasta bila mizunguko wala usumbufu na video inaingia kwenye simu moja kwa moja
Ndio mkuu inawezekana
Kudownload youtube na idm?Unafanyaje chief mkwawa. Maana me naona mapicha picha tu YouTube wanazibana sana link. Kila mbinu nikijaribu hamna kitu.
Link zinagomewa kabisa. Ww unafanyaje?
Kikubwa nidownload video vizuri kwa quality niitakayo bila kujali natumia njia ipi.Kudownload youtube na idm?
Videorder umejaribu?kikubwa nidownload video vizuri kwa quality niitakayo bila kujali natumia njia ipi
Videorder umejaribu?
Download Videoder - Available on android and pc
Download Videoder and start downloading your favorite music, videos and movies now. Videoder is available on android and pc (mac and windows).www.videoder.com
Inakataa hii mkuu sasa hivi.
Ummy pia inagoma
Yaani naona google wanazipiga bunn
Tumia directlink mkuu.
Acha uongo na kiburi unaposaidiwa! VIDEODER imeanza kugoma lini? Sema hujaweza kutumia omba msaada wa maelekezo...mm natumia hyo kila siku kila na wakati napotaka download video youtubeInakataa hii mkuu sasa hivi.
Ummy pia inagoma
Yaani naona google wanazipiga bunn
Ile kuisearch video Google au?
Acha uongo na kiburi unaposaidiwa! VIDEODER imeanza kugoma lini? Sema hujaweza kutumia omba msaada wa maelekezo...mm natumia hyo kila siku kila na wakati napotaka download video youtube
Tumia FileChef andika unachotaka itakuletea direct link
Kifaa gani unatumia? Kama ni simu ni aina gani?Teh.... Mkuu videoder ina ugumu gani kutumia? Si ni swala la kucopy link na kwenda kupaste?
Sasa link inacatchiwa fresh ila kuidownload ndio inafeli ina interrupt. Na nina softwares mbili zote zinafeli na mwanzo zilikuwa zinafanya kazi fresh.
Kote nilikuwa ikinizingua natumia njia y online nayo hivyo hivyo kote nakuta bunn.