Jinsi ya kupata Agent wa kusafirisha bidhaa Kutoka Alibaba

Jinsi ya kupata Agent wa kusafirisha bidhaa Kutoka Alibaba

Wanauwezo wa kupokea kontena ngapi?
🚮🚮🚮Mm ni mtu mzima boss. Ninapochangia kitu, nakichangia nikiwa nawaza kumsaidia mtoa mada.
Na wewe nakufundisha. Huwezi kuwa unataka bidhaa allibaba yenye ujazo wa contena. Hii itabidi utumie suppliers na agents unaowafahamu.
Utakua huna akili ukutane na supplier alibaba then umlipe bidha. Za kujaza contena tena lije tanzania.
Think twice comment zako. Utakuja kulawitiwa.
 
Ushawahi agiza Alibaba? If yes basi utakuwa unaelewa umuhimu wa agent if not basi utakuja hapa tena kuomba msaada wa agent.
Nimeagiza mara nyingi boss. Nadhani sijaelewa content au size ya mzigo wake. Angefunguka hapo. I use alot alibaba. Kwa vitu vyangu vya gari au nyumbani.
Na pia natumia alibaba popote napoweza kuaccess post office. Hata nikiwa safari. Naifahamu vizuri
 
Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
Kuna huyu Skycargo.com wa kariakoo aliwahi kuja hapa kutangaza Kazi hii.

Inaonekana anaijua vizuri mfatilie ufanye naye kazi. Tena anadai mzigo unakufikia in 5 days only.
 
Habari wakuu. Kama kuna mtu ana uzoefu wa kununua bidhaa Alibaba huwa ukishamalizana na muuzaji anakuomba adress ya agent ambaye atakusafirishia mzigo wako kutoka China hadi Bongo.. Kwa uzoefu wenu ni Agent yupi bora na anayeaminika katika kufanya kazi hiyo?
Habari,

Karibu CITIZEN CARGO LTD

Kampuni ya usafirishaji wa mizigo kutoka CHINA kuja TANZANIA Kwa Ndege (Express Air Cargo)

Gharama zetu ni nafuu kama ifwatavyo;

1. From 1Kg - 10Kg: 12$/Kg
2. From 11Kg - 20Kg: 11$/Kg
3. From 21Kg & Above: 10$/Kg

NB: Bei zetu ni Negotiable.

Muda ni siku 3.

Asante
Yohane Sunguya
Citizen Cargo Ltd
10th Floor, Ushirika Tower
Dar es salaam, Tanzania
0717935186 | 0692899234
citizencargotz@gmail.com
 
Sijachanganya mkuu. Mimi sio hizo tu natumia hadi Tao bao hawa ndio huwa natumia adress ya mtu china then anapelekea shipping company.
Okay huwa unachagua shipping method option gani ? Maana bei za shpping zimechangamka na kila ukiongeza item bei inaongezeka
 
Nimeagiza mara nyingi boss. Nadhani sijaelewa content au size ya mzigo wake. Angefunguka hapo. I use alot alibaba. Kwa vitu vyangu vya gari au nyumbani.
Na pia natumia alibaba popote napoweza kuaccess post office. Hata nikiwa safari. Naifahamu vizuri
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom