nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 440
Habarini wana JF,
Tafadhali ninaomba nijuzwe jinsi ya kufuga kuku na kuweza kuwatotolesha aina/jinsia ninayoitaka,mfano kama nina kuku 50 na iwapo ninataka vifaranga vyote viwe majogoo tupu,je nitafanyaje?
Pia kama ninachagua mayai ya kununua nitatambuaje kuwa hili litatotoa jogoo au mtetea?
Kwa anayejua naomba anisaidie katika hilo.
Natanguliza Shukrani.
Tafadhali ninaomba nijuzwe jinsi ya kufuga kuku na kuweza kuwatotolesha aina/jinsia ninayoitaka,mfano kama nina kuku 50 na iwapo ninataka vifaranga vyote viwe majogoo tupu,je nitafanyaje?
Pia kama ninachagua mayai ya kununua nitatambuaje kuwa hili litatotoa jogoo au mtetea?
Kwa anayejua naomba anisaidie katika hilo.
Natanguliza Shukrani.