Jinsi ya kupata aina ya kuku (Jogoo au Mtetea)

nemulo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
1,589
Reaction score
440
Habarini wana JF,

Tafadhali ninaomba nijuzwe jinsi ya kufuga kuku na kuweza kuwatotolesha aina/jinsia ninayoitaka,mfano kama nina kuku 50 na iwapo ninataka vifaranga vyote viwe majogoo tupu,je nitafanyaje?

Pia kama ninachagua mayai ya kununua nitatambuaje kuwa hili litatotoa jogoo au mtetea?

Kwa anayejua naomba anisaidie katika hilo.

Natanguliza Shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…