Jinsi ya kupata chance ya kufundisha vyuo vya kati kama diploma

Jinsi ya kupata chance ya kufundisha vyuo vya kati kama diploma

navigator msomi

Senior Member
Joined
May 8, 2018
Posts
188
Reaction score
224
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni PHYSICS na CHEMISTRY na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Ni jambo la kusikitisha kama mwalimu ndo anauliza hilo swali.

Yaani walimu ndo wanayo majibu sahihi ili wawasaidie watoto wetu
 
Ni jambo la kusikitisha kama mwalimu ndo anauliza hilo swali.

Yaani walimu ndo wanayo majibu sahihi ili wawasaidie watoto wetu
Kama nawewe huelewi unapiga kimya tu mkuu, haina haja ya kukaza ubongo.
SHAME ON YOU.
 
Kama nawewe huelewi unapiga kimya tu mkuu, haina haja ya kukaza ubongo.
SHAME ON YOU.
Sio kwamba sielewi, ila professionally mwalimu ndio anatakiwa ku guide watu katika nyanja hiyo(yaani mtu asome hiki au kile), sasa yeye akianza kuuliza hivi wanafunzi wamuulize nani??

Halafu hapo kwenye kukaza ubongo nadhani wewe na mwalimu ndo mnaongoza kukaza ubongo.
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni PHYSICS na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Mwalimu wa sekondar afu hajui ,, madhara ya kuibia mtihani ndo haya
 
Sio kwamba sielewi, ila professionally mwalimu ndio anatakiwa ku guide watu katika nyanja hiyo(yaani mtu asome hiki au kile), sasa yeye akianza kuuliza hivi wanafunzi wamuulize nani??

Halafu hapo kwenye kukaza ubongo nadhani wewe na mwalimu ndo mnaongoza kukaza ubongo.
hapa tz walimu hawana tofaut na boda boda kwahyo usishangae mwalimu kuuliza maswali yampasayo mwanafunzi kuuliza.

alaf kama hujastuka mleta mada ndo mwalimu mwenyewe na katumia njia kama anamuulizia mtu mwingine ili msije mkamrushia maneno asiyotarajia[emoji41]
 
hapa tz walimu hawana tofaut na boda boda kwahyo usishangae mwalimu kuuliza maswali yampasayo mwanafunzi kuuliza.

alaf kama hujastuka mleta mada ndo mwalimu mwenyewe na katumia njia kama anamuulizia mtu mwingine ili msije mkamrushia maneno asiyotarajia[emoji41]
Inashangaza kwa kweli.

Maswali yote aliyouliza yapo kwenye msingi wa elimu. Yaani mwalimu ndo amefundishwa na anatakiwa kujua mfumo wa elimu yetu.
 
Kuna uzi unaelezea haya mambo humu JF ukiutafuta utaupata. Watu wameelezea vyema kabisa.

Achana na hizo bla bla za hao wadau hapo.
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Kwanini unamsingizia mwenzako wakati muhusika ni wewe?
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Naona mashambulizi tupu. Nafikiri ni vizuri uwasiliane na nacte kwani hapa sioni kama utapata msaada wowote. Au uende kwenye chuo kimoja wapo uulizie.
 
W
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Wew mwalimu wa mchongo kutoka jalalani asee
 
halafu huu utaratibu mtu anashindwa kusema ni yeye anayeuliza anamsingizia mtu mwingine rafiki yake, ni aibu/uoga au? maana imekua common sana hapa jf
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Na huyo mwamba mwalimu ni wewe
 
Yaani mtu kama hujui kitu si utulie tu, kuuliza ni namna Moja ya kujua jambo.
Kuwa mwalimu si kwamba utajua vitu vyote kwenye mambo ya elimu. Yaani bongo mtu kama hajui kitu basi hawezi sema hajui bali atakuona wewe ulieuliza huna akili.

Maana ya hili jukwaa ni kusaidiana, lakini imekuwa tofauti. Hata kama mtu anataka msaada wa jambo ambalo wewe unaliona dogo, wewe mpe kwani hawezi mtu kujua kila kitu. Na kama huwezi kuleta ufafanuzi basi tulia zako huko wenye uelewa waje kumpa miongozo.
 
Mleta mada hata Mimi nilikuwa najiuliza swali Kama lako kuhusu hizi ajira za vyuo vya kati.
Mara nyingi hakuna matangazo ya ajira Kam ilivyo Kwa shule za msingi na sekondari au Kwa vyuo vikuu.

Nilisikia kuwa ajira za vyuo vya kati ni za kuhamia, yaani wanawachukua wale walimu wazoefu kutoka sekondari na kuhamishiwa huko.
Zamani zilikuwa zinaombwa kama sekondari lakini Sasa hivi utaratibu ndio huo.
 
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.

Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.

Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma ni upi, je unaomba toka tamisemi au barua unatambaza vyuo husika.?

Na je kwa bongo, ni vyuo vipi vinatoa huduma hiyo ya masomo tajwa hapo juu katika ngazi ya diploma ambavyo ni vya serikali,?

MSAADA TAFAFHARI KWA ANAEFAHAMU...ASANTEE
Mwalimu mzuri wa chuo ni yule anayeanzia malezi msingi kisha anaenda juu.
Unapotaka kukua ghafla ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom