Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio natumia pia kuwasilia na kupost huu uzi hapa jf kama ulikuwa hujajua
natumia web
Skiza nikupe mautundu, hiyo offa ina depend kama ulinunua hiyo simu kwa njia ya tigo pesanisaidie kuhusu ofa ya facebook
kama usemayo nikweli basi si fungu langu maana nimenunua kwa keshiSkiza nikupe mautundu, hiyo offa ina depend kama ulinunua hiyo simu kwa njia ya tigo pesa
Usitegemee kupata offa hiyo kama ulinunua simu kwa pesa taslimu mkononi
Kwasababu line iliyotumika kufanya muamala ndiyo ambayo imepewa access ya hicho kifurushi cha promo
Na ili uweze kupata hiyo offa ni mpaka ujiunge kifurushi chochote chenye thamani ya 1000 kwenye hiyo line iliyofanya muamala wakununua hiyo simu
Hakuna mautundu zaidi ya hapo
It's Scars