Jinsi ya kupata friji za pepsi

msemakweli2

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,880
Salaaam ndugu,

Naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi friji za PEPSI anijulishe wadau, nina duka langu natamani nipate zile friji za pepsi kwaajili ya kuuzia soda wakuu.
 
Nenda kiwandani kwao au sehemu wanapouza vinywaji vya pepsi kwa bei ya jumla hapo utapata msaada. Huwa wanayatoa bure kwa masharti
 
Nasikia mafriji yanatoka bure ila kwa masharti ila had uende uko kuwa dance kunafom unajaza ila nilisikia had ununue kret kumi
 
Utanunua kret kumi kwenye gari lao yani fasta unapewa na uwe sehemu ambayo kweli zinauzika yani kwa Wiki ata tano zinakwisha, ukiwa unasukuma mzigo sana unapewa la two doors.
Ila yanakoboa sana umeme ndugu yangu hasa yenye nembo ya Galactica, bora haya ya Everest, ninalo galactica nawasha kwa masaa
 
Salaaam ndugu,

Naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi friji za PEPSI anijulishe wadau, nina duka langu natamani nipate zile friji za pepsi kwaajili ya kuuzia soda wakuu.
Vipi unapatikana mkoa gani mkuu
 
ahsante kwa angalizo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…