msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
Vipi unapatikana mkoa gani mkuuSalaaam ndugu,
Naomba mwenye kufahamu jinsi ya kupata hizi friji za PEPSI anijulishe wadau, nina duka langu natamani nipate zile friji za pepsi kwaajili ya kuuzia soda wakuu.
nipo dsm mkuuVipi unapatikana mkoa gani mkuu
ahsante kwa angalizo mkuuUtanunua kret kumi kwenye gari lao yani fasta unapewa na uwe sehemu ambayo kweli zinauzika yani kwa Wiki ata tano zinakwisha, ukiwa unasukuma mzigo sana unapewa la two doors.
Ila yanakoboa sana umeme ndugu yangu hasa yenye nembo ya Galactica, bora haya ya Everest, ninalo galactica nawasha kwa masaa
Nina best yangu yuko DSM anahusika na ugawaji wa mafriji ya Coca hukonipo dsm mkuu
Ayo ya Coca-Cola yanapatikanaje kwa darNina best yangu yuko DSM anahusika na ugawaji wa mafriji ya Coca huko
Mambo mkuu ulpataga friji??Ayo ya Coca-Cola yanapatikanaje kwa dar
Akikujibu uni tag, nahitaji friji la coca na pepsMambo mkuu ulpataga friji??
Unaweza nisaidia Taratibu zake MkuuKama uko dar niambie