mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,054
- 585
Wanabodi ni matumaini yangu kuwa mnaendele vizuri na kumalizia weekend.
Niende moja kwa moja kwenye point, Vijana wengi tumekuwa wajasiria mali hasa kwenye ufugaji wa kuku,lakini changamoto kubwa tunayokutana nayo ni jinsi ya kupata masoko ya bidhaa zetu yaani Mayai, Kuku kwa ajili ya nyama, kienyeji na chotara.
Changamoto hii mara nyingi imesababishwa na ukosefu wa taarifa sahihi kwa wakati sahihi kwahiyo ili kuondokana na hii changamoto ni vizuri kuwa na kitu kitakacho tuunganisha wafugaji wote wa kuku ambao tunapatikana Tanzania nzima ambapo tutakuwa tunapata taarifa kwa wakati sahihi.
Mimi siyo mtaalamu wa sayansi ya computa lakini nashauri tuwe na App itakayowakutanisha wauzaji na wanunuaji. Hivi kuna chama cha wafugaji wa kuku Tanzania?
Karibuni tushauriane ni kwa jinsi gani tufanikishe kufanikiwa kwenye masoko ya kuku hapa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla
Niende moja kwa moja kwenye point, Vijana wengi tumekuwa wajasiria mali hasa kwenye ufugaji wa kuku,lakini changamoto kubwa tunayokutana nayo ni jinsi ya kupata masoko ya bidhaa zetu yaani Mayai, Kuku kwa ajili ya nyama, kienyeji na chotara.
Changamoto hii mara nyingi imesababishwa na ukosefu wa taarifa sahihi kwa wakati sahihi kwahiyo ili kuondokana na hii changamoto ni vizuri kuwa na kitu kitakacho tuunganisha wafugaji wote wa kuku ambao tunapatikana Tanzania nzima ambapo tutakuwa tunapata taarifa kwa wakati sahihi.
Mimi siyo mtaalamu wa sayansi ya computa lakini nashauri tuwe na App itakayowakutanisha wauzaji na wanunuaji. Hivi kuna chama cha wafugaji wa kuku Tanzania?
Karibuni tushauriane ni kwa jinsi gani tufanikishe kufanikiwa kwenye masoko ya kuku hapa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla