Jinsi ya kupata masoko kwa upande wa Export Bandarini Dar

Jinsi ya kupata masoko kwa upande wa Export Bandarini Dar

Adejohn

Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
9
Reaction score
18
Habari za saiz wapendwa samahanini nimemaliza chuo lakin nmepata kazi ambayo sijaisomea.

Nimeitwa kwenye interview ya marketing officer kwenye bandari apa dar es salaam, upande wa Export lakin sifahamu jinsi gani naweza isaidia kampuni kuongeza masoko!

Pia atakama nitapewa mafunzo na kampuni nahitaji niwe na strategies zangu binafsi ili kusaidia kupush kampuni iwe kubwa zaidi na nilivyoikuta.

Naomba kwa anaefahamu jinsi gani naweza kupata masoko kwa bandari zilizopangwa Dar es salaam yan kuanzia process zake ukiachilia mbali kuitangaza kampuni online nahitaji nifahamishwe njia nyingne out of online marketing promotion.

Kwa anaefahamu anaweza kuniambia jamani ili nkienda kwenye kampuni nijiamini na hr ajue nna shauku ya kuiendeleza kampuni
 
To be a better candidate you have to come up with out side box thinking. First what should be done to improve revenue for the company.

Second promotion is a marketing strategy. There are so many ways of marketing, you need to find what ways your company use for marketing for you to offer suggestions for their improvement 😊
 
Aliyekuandalia CV ndio akupe hizo strategies za kui defend CV yako maana mwisho wa siku muajiri anataka aone matokeo tu.😂
 
Habari za saiz wapendwa samahanini nimemaliza chuo lakin nmepata kazi ambayo sijaisomea.

Nimeitwa kwenye interview ya marketing officer kwenye bandari apa dar es salaam, upande wa Export lakin sifahamu jinsi gani naweza isaidia kampuni kuongeza masoko!

Pia atakama nitapewa mafunzo na kampuni nahitaji niwe na strategies zangu binafsi ili kusaidia kupush kampuni iwe kubwa zaidi na nilivyoikuta.

Naomba kwa anaefahamu jinsi gani naweza kupata masoko kwa bandari zilizopangwa Dar es salaam yan kuanzia process zake ukiachilia mbali kuitangaza kampuni online nahitaji nifahamishwe njia nyingne out of online marketing promotion.

Kwa anaefahamu anaweza kuniambia jamani ili nkienda kwenye kampuni nijiamini na hr ajue nna shauku ya kuiendeleza kampuni
Nipe cv yako nikupe Abc's
 
Back
Top Bottom