Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 255
Habari wana jf. Nipende kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutupa uzima na kuyasongesha maisha.
Natambua kuwa mpaka wakati huu kuna mtu anaumia sana kwa sababu alivyopangilia mipango yake pindi anaingia chuoni sivyo inavyoenda sasa hivi. Kuna watu walikuwa na malengo mazuri sana ya kukusanya mtaji kutoka katika pesa ya mkopo (boom) lkn wengi wao wamefeli kufanya hivyo kutokana kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusiana pesa hiyo. Nadhani leo lazima ufunguke akili kwa uzi wangu.
Ndugu mwanachuo mwenzangu, kulingana na uhaba wa ajira tumeamua sisi kama wasomi kutafuta njia mbadala ya kujiajiri kwani tunasoma elimu ili tuweze kupata utashi wa kuyatawala mazingira yetu. Hivyo ni vyema tuwe na wazo la kutengeneza mtaji wetu sisi wenyewe. Ukiwa una mtaji wako kila kitu kitaenda sawa.
Sasa bila kupoteza muda twende kwenye somo letu. Sasa kitu cha kwanza kufanya ni kutambua wewe upo mwaka wa ngapi? Mfano kwa mwaka pili umebakiza maboom 5 lkn mwaka wa kwanza kabakiza maboon 9. Ukisha tambua hilo nenda benki yeyote fungua account ya tsh50,000 kama hela kianzia cha account. Account hizi znatofautiana majina kulingana na benki yenyewe. Ukisha fungua em jinyime kila boom angalau uweke kwenye account yako tsh150,000 au zaidi. Mfano kwa mwaka wa baada ya maboom matano utakuwa na 750,000 na kwa mwaka wa kwanza baada ya maboom 9 utakuwa na tsh 1,350,000. Jamani hii ndiyo njia rahisi na sahihi ya kukufanya wewe upate mtaji hata kama hufanyi biashara pindi upo chuoni.
Pia una ruhusiwa kushare wazo lako na wewe.
Asanteen sanass
Natambua kuwa mpaka wakati huu kuna mtu anaumia sana kwa sababu alivyopangilia mipango yake pindi anaingia chuoni sivyo inavyoenda sasa hivi. Kuna watu walikuwa na malengo mazuri sana ya kukusanya mtaji kutoka katika pesa ya mkopo (boom) lkn wengi wao wamefeli kufanya hivyo kutokana kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusiana pesa hiyo. Nadhani leo lazima ufunguke akili kwa uzi wangu.
Ndugu mwanachuo mwenzangu, kulingana na uhaba wa ajira tumeamua sisi kama wasomi kutafuta njia mbadala ya kujiajiri kwani tunasoma elimu ili tuweze kupata utashi wa kuyatawala mazingira yetu. Hivyo ni vyema tuwe na wazo la kutengeneza mtaji wetu sisi wenyewe. Ukiwa una mtaji wako kila kitu kitaenda sawa.
Sasa bila kupoteza muda twende kwenye somo letu. Sasa kitu cha kwanza kufanya ni kutambua wewe upo mwaka wa ngapi? Mfano kwa mwaka pili umebakiza maboom 5 lkn mwaka wa kwanza kabakiza maboon 9. Ukisha tambua hilo nenda benki yeyote fungua account ya tsh50,000 kama hela kianzia cha account. Account hizi znatofautiana majina kulingana na benki yenyewe. Ukisha fungua em jinyime kila boom angalau uweke kwenye account yako tsh150,000 au zaidi. Mfano kwa mwaka wa baada ya maboom matano utakuwa na 750,000 na kwa mwaka wa kwanza baada ya maboom 9 utakuwa na tsh 1,350,000. Jamani hii ndiyo njia rahisi na sahihi ya kukufanya wewe upate mtaji hata kama hufanyi biashara pindi upo chuoni.
Pia una ruhusiwa kushare wazo lako na wewe.
Asanteen sanass