Jinsi ya kupata mtaji mkubwa kwa mwanachuo

Mkuu hongera...Mimi nilijitesa sana tu lakini sikufua dafu...ila hela nyingi nilimalizia kwenye ada.. Kuna wakati lilikuwa linaishia kwenye ada lote
 
Mkuu hongera...Mimi nilijitesa sana tu lakini sikufua dafu...ila hela nyingi nilimalizia kwenye ada.. Kuna wakati lilikuwa linaishia kwenye ada lote
Sio ww mwenyew mkuu mpaka sasa ndo kitu kinachonikuta najikuta boom lote limeishia kwenye ada na cost zingine tena alitoshi inakubidi kuchukua tena kwa washkaji likija la pili uwalipe
 
Mkuu hongera...Mimi nilijitesa sana tu lakini sikufua dafu...ila hela nyingi nilimalizia kwenye ada.. Kuna wakati lilikuwa linaishia kwenye ada lote
kama ilikua inaisha kwenye ada si vibaya, hukuwa na namna.

kwani ada ulkuwa unalipiwa kiasi gani na HESLB?
 
Sio ww mwenyew mkuu mpaka sasa ndo kitu kinachonikuta najikuta boom lote limeishia kwenye ada na cost zingine tena alitoshi inakubidi kuchukua tena kwa washkaji likija la pili uwalipe
Dah kabisa mkuu...Mimi kuna wakati lilikuwa linakata kwenye ada naanza kukopa likija linalofuata nalipa kodi na madeni ya kutosha linaisha tena nabaki hivo baada ya muda mfupi
 
Mimi nilicheza kama Pele but wazazi wamenilostisha.
Picha linaanza sikuona haja ya kwenda vyuo vya mikoani huko
. So nilichagua chuo cha karibu kabisa na home yani nikawa navuta boom na ugali wa kengere napiga sijui kodi wala nini.
Basi saving ya boom nikawa nalipa ada kama 350k, nikinunua baadhi ya furniture, na vi investment vya hela ya vocha.
Msala unakuja baada ya kuwakopesha wazazi hahah.....,
 
Najiraumu sikustuka mapema japo nilipo stuka nilijipinda hasa aisee asikwambie mtu nilistuka mwaka wa tatu nilijipinda unaambiwa niliskip kila kitu yaani kilakitu kwangu ilikuwa kutoa pesa ni anasa mpaka kula nilikuwa nakula 1500/= kwasiku mchana 1000/= usiku 500/= mihogo uwezi amini kwamahesabu kihasi cha 870,000/= cha boom mwaka wa tatu nilitumia kufungulia biashara ambayo mpaka leo nimemaliza inaniwezesha kuingia hapa JF kumbuka hapo 200,000/= nimelipa Ada na 150,000/= nyingine nimenunua simu kwahiyo jumla 1.2M ya Boom mwaka wa tatu sikutumia kujikimu ni 800,000/= tu ndio nilijikimu mayo mwaka wote.

Hivyo, inawezekana tu kama nimeweza kusave around 1M kwa mwaka mmoja wa masomo ningestuka mapema ningekuwa mbali chamsingi kuacha Excuses zote ukweli hakunaga pesa inatosha duniani.
 
Msijibane sana wadogo zangu mnapokuwa chuo ila jitahidini kuongeza ujuzi wa kuwawezesha kuishi kitaa kama vile ufundi simu na computer,mtaani pesa ipo nyingi sana kwa vijikazi vya kuungaunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…