Jinsi ya kupata mtoto wa kike

Ba Chomsky

Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
20
Reaction score
2
Habari ndugu zangu. Poleni na kazi. Mwenye utaalamu naomba afungukenaomba nijuzwenamna ya kupata baby girl m'period ya wife ni 22 au 23 kila mwezi
 
Nijuavyo mimi ni hivi: playas wengi huwa wanapata watoto wa kike.

Jaribu tu hata kufanya utafiti/ uchunguzi wako mwenyewe utajionea.

Hivyo, kama wewe unataka mtoto wa kike na wewe siyo playa, basi anza leo.

Play the field like there's no tomorrow and come back and tell what sex is your baby once you knock up your wife.

Once on the field, play responsibly. Don't knock up any other chick but your wife.
 
Tupia mbegu siku kuanzia tatu Kabla ya yai Lake kutoka. Maana life span ya mbegu Y ambayo ni ya dume ni ndogo sana ukilinganisha na mbegu X. Ko ile siku yai Lake linatoka litakutana na mbegu X tu maana Y zitakuwa zishakufa. Na hapo X NA X tayar utakuwa na mrembo wako. We andaa jina Zuri tu kwa huyo mrembo
 
mwanamke hutoa yai siku ya 14 kabla ya mzunguko kuanza upya, hivyo ukitaka mtoto wa kike basi piga mechi siku 4 au 5 kabla ya hiyo siku ya yai kutoka.
au fanya hivi: hesabu siku 9 tangu mkeo aanze mzunguko wake,piga mechi hiyo siku ya 10 na ya 11 tu usizidishe..ikigoma basi mzunguko unaofuata piga mpaka siku ya 12

NB;Hii njia nimezingatia lifespan ya sex chromosomes na pia si ya uhakika asilimia mia kutokana na wanawake wengi mzunguko wao hubadilikabadilika, lakini ndionjia bora.
 

Kuna ukweli asilimia za kutosha ktk hili, wadau kadhaa niwajuao wapenda papuchi wamepiga za kike nyingi. Na hali hii waswahili tunaishia kusema malipo duniani as watoto wao nao watapigwa mkojo kwa kipimo kile kile baba yao aliwafanyia watoto wa wenzake.
 

Duh....basi hatari
 
mgonge tarehe 2 au 6 kama blidi ilianza tarehe 22.
kama blidi ilianza tarehe23 mgonge 3 au 7 ............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…