Wenye ujuzi wa namna ya kuzipata remote jobs. Zile kazi za kufanya online na taasisi zilizo nje au hapa Tanzania lakini kila kitu mnafanyia online. Tupeni elimu namna ya kuziomba na kuzipata.
Wenye ujuzi wa namna ya kuzipata remote jobs. Zile kazi za kufanya online na taasisi zilizo nje au hapa Tanzania lakini kila kitu mnafanyia online. Tupeni elimu namna ya kuziomba na kuzipata.