Umesema kweli boss kabichi ni kachumbali tuKabichi sio mboga, ila ni kiungo cha mboga. Sema utamaduni wetu wa lishe ndio tatizo. Hivi ulishawahi kupata utumbo rost iliyochanganywa na viungo kama vyoooteeee, mixer na kabichi kiasi?..........hapo ndio utaamini niliyoyasema kwenye aya ya kwanza hapo juu.
Huyo jamaa yako ni mjinga tu ,Ugali siku zote nakula na dagaa na mnafu ..kwa kifupi ndio chakula changu pendwa haina maana nashindwa kwenda KFC ama Sijui Karambezidaaah nimekumbuka kuna jamaa yangu alishawahi kunambia hawezi kula ugali na dagaa(misumali ya bati) hata siku moja.
Mungu fundi bhana, bahati mbaya nyumba yao imeungua na maisha yao yamedrop economically sababu ya ujenzi wa nyumba yao.
maisha anayoishi jamaa nayaelewa mimi anachokula naelewa mimi
wewe naweza kusema unamkufuru Mungu kama huyo jamaa yangu, .....kabichi ni kachumbari tu au sio??
ngoja yakukute mkuu hapo ndio utajua kwanini chips hazina ukoko
This Time Tomorrow
😳😳😳😳😳 hii hatari kweli, cha kukatia laki tatu na kabichi yenyewe 500, umenifurahisha sana maana hawa wachina hawko serious maana kwa hiyo bei unaweza kununulia kabichi kwa siku 600 ambayo ni almost miaka miwili ww ndo unanunua cha kukatia!!!Mashine ya kukatia laki tatu kabichi yenyewe ni jero tu ?
Kweli mkuu kwa vyuma hivi watu wanakula kabichi kwa sababu ya uchumi wataweza kununua mashine ya kukatia.?
Hivi hyujui mchanganyjko wa MBOGA na MATUNDA ukipka Ni sumu?oya mwana hujui kupika kabeji,ipike hivi mix karoti,hoho,tango,kitunguu ,karanga na kabeji yenyewe mbona inakua poa ila nyanya usiweke
Mkuu wanaume wamikoan sisi mpka kiporo cha ugal kwa maji ya chunvi we mbona una enjoyWanaume wa dar watu tunakula ugali na chumvi au kwa kuvuta hisia ya kuku
aah kumbe nilikuwa sijui mkuu mbona hoho na karoti tunaungia mboga siku zoteHivi hyujui mchanganyjko wa MBOGA na MATUNDA ukipka Ni sumu?
Mkuu carrot ipo katika kundi la mboga na hoho kadhalika.lakini tango Ni tunda halafu nyanya,kitunguu ni mbogaaah kumbe nilikuwa sijui mkuu mbona hoho na karoti tunaungia mboga siku zote
Hahahaha du mkuu umenichekesha sanaaa! Kuna maeneo fulani hufugi paka jamaa wanawawinda wawaleHakuna kitu sipendi kama nyama ya paka
sasa mkuu ukichemsha kabeji halafu ukiiipua uchanganye na tango patakuwa na sumu hspoMkuu carrot ipo katika kundi la mboga na hoho kadhalika.lakini tango Ni tunda halafu nyanya,kitunguu ni mboga
Ulaji wa wakati 1 wa tunda na mboga pia tatizo. Ratiba ya mlo ipo hivi siku ina saa24 unagawa kwa mafungu 3 unapata masaa 8 katka kila fungu.sasa mkuu ukichemsha kabeji halafu ukiiipua uchanganye na tango patakuwa na sumu hspo
Mkuu mchanganyiko wa MBOGA na MATUNDA KULIWA KWA WAKATI MMOJA Ni sumu.inapaswa UTENGANISHE ANGALAO NUSU SAA KATI YA HIVYO VIWILIsasa mkuu ukichemsha kabeji halafu ukiiipua uchanganye na tango patakuwa na sumu hspo