Jinsi ya kupika nyama aina ya beef

Jinsi ya kupika nyama aina ya beef

komeka

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
1,072
Reaction score
403
Wakuu nahitaji kujua upikaji wa aina hii ya nyama kwani kwangu mi ni mashikoro mageni ....hapa ninapofanyia shughuli zangu Kuna duka wanauza hii kitu huwa natamani ninunue ila naogopa inaweza kunisumbua kwenye kupika...je inapikwa kama nyama nyingine za kawaida?
 
Wakuu nahitaji kujua upikaji wa aina hii ya nyama kwani kwangu mi ni mashikoro mageni ....hapa ninapofanyia shughuli zangu Kuna duka wanauza hii kitu huwa natamani ninunue ila naogopa inaweza kunisumbua kwenye kupika...je inapikwa kama nyama nyingine za kawaida?

Hivi maana ya beef si ni nyama ya ng'ombe? au ina maana nyingine?
 
Bado cjapata jibu mpk sa iv msaaada pliiiz
 
Hii huwa ni nyama ya kima.
Kwanza katakata viungo,kisha weka beefu kwenye sefulia,ongeza mafuta na viungo,injika kwenye jiko na upike mpaka imetokota,epua na uandae.
 
mleta mada haujaeleweka kwani beef ni ng'ombe sasa sijui unatakaje hapo.
hebu jaribu kuweka swali vizuri. Kwani beef inapikwa kwa style nyingi sana.
 
Back
Top Bottom