Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Upi unaweza kuuvumilia kuukosa kati ya hivyo viwiliNipe vitu mama. Ukiachilia ya kitandani huu ni ugonjwa namba 2
Vyote siwezi kuvumilia.Upi unaweza kuuvumilia kuukosa kati ya hivyo viwili
Ha ha haVyote siwezi kuvumilia.
Akiwa mtamu bed inasaidia ila jikoni akiwa mzembe atanibore.Ha ha ha
Ni mitamu balaaa! Sema inafyonza mafuta sana!ππWanaita hivo naonaga Kwa wapishi hukoπ
una kitu utafika mbali..Jamani πππ tutarudi kula magimbiππ
π€£π€£π€£ hatareeeemimi shemeji yako mume wa antonia
Wapi??duhh tanzania ndo tumefika huku..
Kaka angu mzima anakusalimia sana cheupe wake πππππAhna sitak
Kakaako hajambo
Sawa shemeji π€£π€£π€£Ndio shem langu
Awwwww ππππMwambie nimemmiss π