mzama chumvini
JF-Expert Member
- Mar 14, 2016
- 730
- 642
Sabakher Wadau;
Baada ya kuona Maujuz Mbali Mbali Ya Mapish Humu Na Mim Nimeona Mapish Matamu Ya Panya Almaarufu Kama Mbuku.
Panya Anaweza Kutumiwa Kama Kitoweo! Au Roast.
MAHITAJI;
Panya Saiz Ya Kati Mara Nying Tunatumia Wa Porin
Moto
Mchomeo
Mafuta
Chumv
Sufulia!
JINSI KUMTENGENEZA;
kwa kitoweo huna haja ya kutoa ngoz unapitisha mchomeo kuanzia mdomo unatokea Mkiani. Unambanika kama mshikak na kumgeuza geuza mpaka aive!
KWA ROast;
Unamchana na kumchuna ngoz na Kumtengeneza Roast Kama Vyakula Vingine.
Mboga Hii Ni Nzur Kwa Ugal Na wali.
Baada ya kuona Maujuz Mbali Mbali Ya Mapish Humu Na Mim Nimeona Mapish Matamu Ya Panya Almaarufu Kama Mbuku.
Panya Anaweza Kutumiwa Kama Kitoweo! Au Roast.
MAHITAJI;
Panya Saiz Ya Kati Mara Nying Tunatumia Wa Porin
Moto
Mchomeo
Mafuta
Chumv
Sufulia!
JINSI KUMTENGENEZA;
kwa kitoweo huna haja ya kutoa ngoz unapitisha mchomeo kuanzia mdomo unatokea Mkiani. Unambanika kama mshikak na kumgeuza geuza mpaka aive!
KWA ROast;
Unamchana na kumchuna ngoz na Kumtengeneza Roast Kama Vyakula Vingine.
Mboga Hii Ni Nzur Kwa Ugal Na wali.