Jinsi ya kupika Ugali mweupe wa mihogo

Jinsi ya kupika Ugali mweupe wa mihogo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1648284713982.png


Jukwa la mapishi silioni, ninatamani kuelezea jinsi ya kupika ugali wa mhogo na ukatoka mweupe na si mweusi kama bada tulilo lizoea.

Bada ninapenda sana tena liwe na mboga ya kuku wa kienyeji apikwe chukuchuku. Back to the topic. Mhogo uliochemshwa na kuiva kabisa ukiwa bado wa moto unwekwa kwenye kinu na kupondwa mpaka unatoa ugali.

Ugali huu unapashwa moto kwa steaming, yaani unaufunga kwenye majani ya mgomba. Unabangidasufuria ya maji jikoni, ya kuanza kuchemka unaweka ugali kwenye ungo na kuweka kuu ya sufuria ya maji ya moto. Inafunika ungo na sinia na kuacha upate moto.

Kwa watoto wa .com basi unamenya mhogo na kukata vipande vidogo, unaweka kwenye food processor na maji ya kutosha. Utatoka uji mzito. Uji huu unauweka kwenye sufuria na kuandika kwenye moto. Unakoroka mpaka unashikana kuepuka mabonge. Ukishikana unaanza kusonga ugali mpaka ulainike na kuiva.

Weekend njema.
 
View attachment 2164833

Jukwa la mapishi silioni, ninatamanu kuelezea jinsi ya kupika ugali wa mhogo na ukatoka mweupe na si mweusi kama bada tulilo lizoea.

Bada ninapenda sana tena liwe na mboga ya kuku wa kienyeji apikwe chukuchuku. Back to the topic. Mhogo uliochemshwa na kuiva kabisa ukiwa bado wa moto unwekwa kwenye kinu na kupondwa mpaka unatoa ugali.

Ugali huu unapashwa moto kwa steaming, yaani unaufunga kwenye majani ya mgomba. Unabangidasufuria ya maji jikoni, ya kuanza kuchemka unaweka ugali kwenye ungo na kuweka kuu ya sufuria ya maji ya moto. Inafunika ungo na sinia na kuacha upate moto.

Kwa watoto wa .com basi unamenya mhogo na kukata vipande vidogo, unaweka kwenye food processor na maji ya kutosha. Utatoka uji mzito. Uji huu unauweka kwenye sufuria na kuandika kwenye moto. Unakoroka mpaka unashikana kuepuka mabonge. Ukishikana unaanza kusonga ugali mpaka ulainike na kuiva.

Weekend njema.
Mara ya kwanza wife kumpa simu asome kitu ni Leo ili apate ujuzi wa hii kitu.... 😎
 
Back
Top Bottom