Jinsi ya kupika uji wa ngano

ngoja nikupe kitu kizuri cha mtoto chemsha karoti zisiize sana blend mpe huo uji kila siku at least vikombe viwili. pia kwenye msosi wake weka bamia nangogwe kiasi . halafu mpe uji wa sembe kwa sana au wa popcorn usimpe ma vitu ya maboxsi .
Uji wa sembe kwa mtoto haufai, mtoto anywe dona kama ndio anamuanzishia inaweza kuwa diluted kidogo.
 
Bila kusahau magadi na mafenesi , bamia NNE na hohoto na sukari guru na makongoro manne
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hebu tufundishe na jinsi ya kupika ugali wa ngano aisee maana sembe limepanda bei, ili tupunguze ukali wa maisha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Itakua vipopoooooo..
 
Oyaa! Uje utulee na uji mwengine hapa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Huu uji sio poa, kunywa chupa nzima hata sionagi tabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…