instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 345
Habari wadau.. Asalaam aleykum.. Bwana yesu asifiwe.
mimi ni kijana mwenye miaka 25
nimesoma boys school kwa miaka 6..kiukweli kama mjuavyo maisha ya boys.. Nilikuwa napenda sana kutumia masturbation kama njia ya kusolve mihemuko ya ngono
sasa tatizo hilo nahisi limeniathiri maana siku hizi uume ukisimama unakuwa mkubwa haswa ila ukisinyaa unakuwa mfupi mno kiasi kwamba najickia vibaya
hivyo nina wasiwasi kuwa huenda uume wangu umeathiriwa na masturbation
je... Nifanyaje ili kuurejesha ktk ukubwa unaofaa.. Ili hata pale unaposinyaa usiwe mdogo kama wa mtoto
je kuna dawa yoyote inayoweza kurejesha misuli ya uume ktk ubora wake?? inapatkana wapi??
MSAADA TAFADHALI
mimi ni kijana mwenye miaka 25
nimesoma boys school kwa miaka 6..kiukweli kama mjuavyo maisha ya boys.. Nilikuwa napenda sana kutumia masturbation kama njia ya kusolve mihemuko ya ngono
sasa tatizo hilo nahisi limeniathiri maana siku hizi uume ukisimama unakuwa mkubwa haswa ila ukisinyaa unakuwa mfupi mno kiasi kwamba najickia vibaya
hivyo nina wasiwasi kuwa huenda uume wangu umeathiriwa na masturbation
je... Nifanyaje ili kuurejesha ktk ukubwa unaofaa.. Ili hata pale unaposinyaa usiwe mdogo kama wa mtoto
je kuna dawa yoyote inayoweza kurejesha misuli ya uume ktk ubora wake?? inapatkana wapi??
MSAADA TAFADHALI