Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Sizan kama inafanya kaz uchukue, mashiringi mengi uyatie kwenye maji, bakuli, baba ramsi waambie binadam kila kitu kinajengwa na imani binadam angejielewa, ni mtu wa aina ipi anauwezo mkubwa sana, kwakuwa hatuelew mambo. Na hata naamin nikikuuliza ili binadam awe na imani afuate taratibu zipi! Sizan kama utakuwa na jibu sahihi, zaidi utajibu kile ambacho na ww uliambiwa. Ndio mana wengine kwa kutoelewa hiyo iman ni kitu gani! wengi wenu au wenye maalifa kidogo ya hiyo kitu imani mnajikuta mnawaaminisha watu kwa njia za kihuni kama unavyofanya ww na lengo kwa maslai binafsi ili mpate pesa, lakini nawaambia kila binadam anauwezo, mkubwa wa kufanya mambo pasipo mizizi au mambo ya kando mkuu unisamehe nimeongea pumba hapa nimelewa
 
Uchawi ni upumbavu uliopita viwango vya kawaida.
 
Worldwide
Kama ni hivyo ni ngumu sana kupanga matokeo kwa mtu mmoja mmoja, ila lazima wame set kwamba wakiweka watu wengi mzigo inaishia odd ya 1.1 au 1.2 πŸ˜„ halafu wakiona watu wote wame cash out ndege inapaa mpaka kufikia odd ya 100+ ili kutamanisha raia zaid hahahaha. Majambazi haya Shenzi type
 
Mkuu huu mchezo sina hakika kama kuna namna wamefanya kuwapiga watu. Lakini nilichojifunza ni kiwa na mtaji wa maana. Unaset odds 1.5 inakuwa una autocash. Watu wanapata sana hela kwa huu utaratibu
 
Unajikuta unaliita jini, haya mambo ya mauza uza haya sio ya kwenda kichwa kichwa πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…