Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Dah...cha Ajabu sijawahi sikia Rakims ameshinda kamari yoyote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

mkuu mimi sio mbabaishaji kama wengine until nafundisha kitu jua nna experience nacho hata kitu kikienda wrong
naweza kumuongoza mtu mkuu uliza wanaonifahamu humu watakwambia na ambao teyari nimeshafanya nao online business watakuthibitishia, so sometimes all you have to do is asking mkuu wewe huwa unashinda? give proof unapewa na kama unataka kujifunza unaomba sio kukejeli mradi umeongea


fungua attachment hiyo utaona
 


that means even books of spells has it..

Rakims
 

mkuu follow my lead
 
Rakims hayo maji ya rose water yanauzwa au unachanganya maua ya rose na maji ya kawaida..pili unatumia shilingi hizi 50, 100, 500,au ni zile za zamani? Na mwisho hayo maneno yanatamkwa kama yalivyoandikwa?

ndio mkuu pesa zozote za sarafu hata za nchi za nje pia mradi iwe pesa ya shilingi, rose water ni zile zipo maduka ya dawa za kiarabu ukifika tu waambie nataka rose water watakupa mkuu na maneno hayo yanatamkwa kama yalivyoandikwa usisahau kufeedbak mkuu ili watu waone kama ni kweli au si kweli maana hapa wajinga wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…